Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

Wakuu

Ni sawa kwamba wewe ni rijali, kwamba nyoka hachagui shimo. Kwamba ukiona chaka, mavi yanabana. Kwamba una pesa hakuna mbususu itakayokushinda. Lakini watu wazima kutembea na mabinti wadogo ni risk nyingi na laana, Plus kujivunjia heshima
Hasara ni nyingi tuone..

1: Utageuzwa kitega uchumi ama mpesa.
Vibinti vingi hasa vya shule na chuo, huwa vina mambo mengi, utasikia "nitumie 30 nikatoe copy ya notes, ama simu yangu ipo kwa fundi amesema ni 50k." "mtungi umeisha gesi" " Ukiwa na mdada mtu mzima hafanyi hivi, kwanza anaona aibu kusema haya, atakuomba hela kwa njia nyingine.

2: Heshima inashuka..
Pili ni heshima yako inashuka baada ya kumnyandua binti huyo, kwani anakuona kama kijana mwenzake. Imagine binti wa 23 yrs anamwambia mzee wa miaka 70 assume ni baba yako. "hujakua wewe nakuacha" hapo mzee wa watu anapiga goti kisa tu mnato binti.. Na ukute mzee wa watu ndo una kibamia ndio utajuta yaani. Tutulie na wake zetu wakuu ama kunywa k vant aka kifutio kama una stress..

3: Kifo nje nje...
Pia kifo kinakuwa nje nje yaani, Izraili anakuwa kashashika kalamu anasubiri tu kupiga sign urudishe namba.. Vitoto hivi huwa vina style za laana wakati wa kufiringana. Mara "idondokee" mzee wa watu hujakaa vizuri mara kamekupa "nimekususia yote" kanakuja kukumalizia na sijui "covid 19" Nini hapo kama si mzee wetu uteme nyongo na maini? Tabu yote ya nini mzee mwenzangu? Mkeo anakupa kistaarabu kabisa wala hazijui hizo "doggy style"..punguza usije dedi ujaacha urithi..

Mwisho wazee achieni mabinti vijana waoe. Ndio maana Extrovert hataki kuoa.


Sisi hatutembei nao, kama wewe unatembea nao ujue ni tabia yako mwenyewe
 
Kwa kweli hivi vibinti vya 18-23 ni vitamu sana kitu kinabana kina joto,ukichomoa mashine kuna kimlio flan hivi amazing kinatoka, vina hamu ya kuliwa kila siku,kuna kimoja nimekula wikiendi kinalilia mkunyenge vizuri yani ile sauti unaweza ukalia ugali ukashiba,siyo sawa na hawa wahenga wenye mavitambi,mishono ya uzazi kin**mbe kimesuguliwa mpaka kimegawanyika vipande viwili,ukiwa unamla unatoka mlio flan hivi kama umetupa jiwe kwenye matope.
[emoji28]
 
Wakuu natumaini ni wazima. Kuna mtu kanikumbusha huu uzi nikasema niwape mrejesho.

Haka kamchepuko bana bado niko nako mpaka leo! Mungu katubariki kwa sasa tuna katoto ka kiume kana miezi 3 sasa. Tangu kajifungue hatujakutana nimekamiss balaa.. Ila tumepanga wiki ijayo panapo majaaliwa katoroke tuonane maana bado kapo kwao. Ntaendelea kuwapa updates tuzidi kuombeana ya Mungu mengi.

cariha Extrovert Mlolongo financial services Abrianna logframe rikiboy
Unafurahi kuongeza single maza?kwa nini hukuendelea kumwaga nje?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom