Wanaume tukatae kufa mapema kwa sababu ya wanawake

Wanaume tukatae kufa mapema kwa sababu ya wanawake

Pole sana mkuu. Kitu muhimu maishani ni kujua jinsi ya kuset boundaries. Mimi nina dada ambae ndio anaabuse kila mtu. Ila ukiset boundary walau wewe unabakia kuwa na akili timamu. Maamuzi magumu ni magumu, you can quote me!

Kila la kheri, ila jiweke wewe kwanza na usipate kichaa wala kufa chap chap.
Asante ndugu yangu, ukweli kama tungejaliwa kusimama katika mipaka yetu walao tungekuwa na lugha nzuri ya kuongea.

Tunaweza kusimama katika mipaka yetu ila kuna kaudhaifu fulani baina yetu wanaume dhidi ya wanawake, ndio maana kuna namna mwanaume anakuwa victim wa mwanamke , hii nadhani ipo nature zaidi ili ku balance mfumo wa maisha.
 
Asante ndugu yangu, ukweli kama tungejaliwa kusimama katika mipaka yetu walao tungekuwa na lugha nzuri ya kuongea.

Tunaweza kusimama katika mipaka yetu ila kuna kaudhaifu fulani baina yetu wanaume dhidi ya wanawake, ndio maana kuna namna mwanaume anakuwa victim wa mwanamke , hii nadhani ipo nature zaidi ili ku balance mfumo wa maisha.
Umeshaelewa ni nature Pendaelli . Relax na kufanya ubinadamu, ila maumivu yakizidi chora mstari ili roho isiache mwili.
 
Umeshaelewa ni nature Pendaelli . Relax na kufanya ubinadamu, ila maumivu yakizidi chora mstari ili roho isiache mwili.
Naomba radhi kama nitakuwa nimekosea natumaini wewe ni mwanamke.
Mimi ni mwanaume, nimeumizwa na wanawake mara kadhaa, kila mwanamke alieniumiza niliazimia na kuapa kutojihisha na mwanamke , ila baada ya muda yale maumivu yana poa na kujikuta namuhitaji tena mwanamke maishani mwangu.
Hiki ndicho kinacho tutesa wanaume na kututanguliza mapema ahera.

Katika kuwaza sana kwa nini iwe hivi ndio imegundulika ni asili, mara chache satba mtu kwenda kinyume na asili kisha akafanikiwa.
 
Yaaan sio hivo tu kwamba wanatupeleka puta ila tatizo nikwamba sisi wanaume ni viherehere kupita kias.Imagine mtu anakwambia live kwamba anatamani afe yeye kwanza kabla ya mkewe,yaani tumefika mahali tunampangia Mungu nani awahi kufa.Yaani kiukweli achawatupige spana ndo akili zitatukaa.Mim hata kwenye sex huwa nna m-alert mapema kwamba leo nataka tupige show,ikifika muda wa mechi akibanabana akaanza kuleta mlolongo wa vitu visivyo kwenye menue ya sex/bed,nachukua simu naangalia tudada tulio kaakaa uchi napiga Nyeto then usingizi, kesho naamkia kwenye mishe sina hadithi nyingi katika hilo.
 
Binafsi naona zama za kuoa, zimeisha pita kwa sbb;
1.wengi wanatoka kwenye familia zilizokosa malezi sahihi
2.Mfumo wa maisha yetu ni ule wa kuigiza na kufeki kila kitu "plastic life style"
3.Maisha ya sasa yamejaa ubinafsi na kujipenda Zaidi!
4.Ndoa ilikuwa mwanaume anammiliki mwanamke pekeyake...

Maisha yamebadilika, sheria za ndoa bado ziko vile vile (zimembana mwanaume).
Biblia inasema" heri kuishi darini/jangwani kuliko kuishi na mwanamke mkorofi.
Halafu unafunga ndoa "mpaka kifo kitutenganishe" serious!!!
Kuna ukweli kwamba wanaume wasio na wake wanaishi maisha mazuri Zaidi kuliko wenye wake.
 
Naomba radhi kama nitakuwa nimekosea natumaini wewe ni mwanamke.
Mimi ni mwanaume, nimeumizwa na wanawake mara kadhaa, kila mwanamke alieniumiza niliazimia na kuapa kutojihisha na mwanamke , ila baada ya muda yale maumivu yana poa na kujikuta namuhitaji tena mwanamke maishani mwangu.
Hiki ndicho kinacho tutesa wanaume na kututanguliza mapema ahera.

Katika kuwaza sana kwa nini iwe hivi ndio imegundulika ni asili, mara chache satba mtu kwenda kinyume na asili kisha akafanikiwa.
Relax, and enjoy life unapologetically mkuu.
Ndio haswaa ninachomaanisha, kuumizwa na mwanamke mmoja hakuwezi kufanya wanawake wote tukawa hatufai. Same na mimi kuumizwa na mwanaume mmoja hakuwezi kufanya wanaume wote kuwa useless. Hapo ndipo dhana ya kujisamehe kwa kushindwa kuona mbali inakuja. Ukisamehe unapona haraka na kupenda haraka pia. Kuvunjika kwa koleo mkuu 😁😁 unakamata sululu maisha yanaendelea kwa kasi ya 5G
 
Tunajitahidi, ila mngejaliwa huruma dhidi yetu walao, ila hamtuonei huruma, mnatamani tusiwepo,kinyume na sisi, sisi maisha hayawi maisha bila nyie, ila nyie mmetumia kigezo hicho kutukandamiza na kutumaliza.
Nani kasema tunatamani msiwepo? Sijui kwa wengine ila kwa mimi mwanaume bado ana nafasi yake tena kubwa na muhimu.
 
Ukisha zaa nae watoto 2-3,Jitahidi kuwa mtu wa safari nyingi sana, maana yeye by nature huwa hakuhitaji sana, na hupenda vijana wadogo zaidi, safiri sana kumkwepa na uwe bize huko mbali, lakini udumia family kama kawaida. Utaepuka mengi.
 
Ukioa mwanamke ambae ni;
Tegemezi
Maskini
Asie na kipato cha kutosha , hata kama anafanya kazi lakini kipato chake ni kidogo hana uwezo wa kujisimamia kifamilia matharani kulipa ada Shule zileeee za status ya watakatifu, hana uwezo wa kujenga nyumba kwa hela yake, hana uwezo wa kwenda kupanga Appartment prime area kwa Hela yake , hawezi kumiliki family car kwa Hela yake halali n.k

Ambae si mcha Mungu hajapata tohara ya moyo na kujikana.
Ambae makuzi na malezi yake hayana Mungu moyoni.
Ambae hana rehema
Ambae amejaa visasi
Ambae haridhiki na kidogo cha uwezo wake
Ambae hujiringanisha maisha yake na waliomzidi na kutafuta kulingana nao au kuwapita
Ambae amejaa tamaa.
Ambae hajikubali.
Ambae hajui hata maana ya upendo ni nini na sifa za upendo ukizipima kwake hazipo.

Mwenye tamaa ya kupenda mali ambazo mume amezichuma kwa 100%
N.k

Wa hivyo ishi nae kwa tahadhari.
Mwili wako uwe unajikagua mara kwa mara.
 
Halafu siku hizi Sijui hata wamekuwaje Yaani hawaogopi hata kuwa wajane !
God forbid!
Yaani wanaona ni namna ya kuwa huru Sijui ?!
Au hizo mali urithi mwenyewe amezitafuta hayupo hivi mwanamke utapata amani ya moyo na Furaha kweli maishani mwako ?!
 
Tusiseme uwongo mmekuwa hatarishi mno, maisha ya mwanaume yako mbioni kuhitimika sababu kuu ni mwanamke.
Na msumari wa mwisho kwenye jeneza uligongelewa kwenye 50/50 😭😭😭😭
Ukiangalia hiyo 50/50 yenyewe ni mazingaombwe 😭😭😭
 
Back
Top Bottom