Wanaume tuko desperate sana kupata ngono, ifike mahali wanaume tuwe na akili

Wanaume tuko desperate sana kupata ngono, ifike mahali wanaume tuwe na akili

Umeongea Fact sema kwa asaivi wanaume wanatafuta sana pesa.Na hata kama kuna mtu anapenda ngono basi sio kama zamani enzi za mwanzo wa Mtandao waFb


Wakishazipata hizo pesa huzitumiaje?

Kama siyo kwa Umalaya?

Money source of evil!
 
Utekelezaji wake sio mchezo

Bila mbunye maisha ya mswahili ni ubatili,,, hakuna mbadala

But tutajitahidi
 
Back
Top Bottom