Wanaume tuko desperate sana kupata ngono, ifike mahali wanaume tuwe na akili

Wanaume tuko desperate sana kupata ngono, ifike mahali wanaume tuwe na akili

Nimefanya uchunguzi binafsi, ukitaka kujua ukweli ingia kwenye dm za wadada kwenye mitandao ya kijamii kama facebook, insta, humu jf, uone wanaume tunavojichoresha na kujidhalilisha na kujipendekeza Kwa kuwatumia wadada sms 20 za kimapenzi kwa mpigo, yoote hiyo ili upate attention ya mdada ambaye in real life humjui hakujui, Utakuta dm ya mdada imejaa sms toka kwa wanaume 9 tofauti, na hajawajibu hata mmoja bcoz Wote hawafahamu, sisemi its wrong kumtongoza mdada, ila tunatumia platform mbovu inayotufanya wanaume Tuonekane tuna njaa sana na ngono, ndio maana wanaume tunadharaulika.

Mtu unatumia laki 6 kumuhonga mdada uliekutana nae juzi Ili akupe penzi wakati huyo mdada hata hakujali, ukute hata hajakuomba io hela, hakuthamini, hajawahi kukupa Papuchi na hatokaa aje kukupa papuchi, wakati mdogo wako wa kike Kule kijijini hana hata sketi mbili na amekosa tshs elfu 80 ya ada..ila kijana mdogo wa kiume unawekeza hela kwenye ujinga, nilisoma mtandaoni kwa nchi kama Marekani kuna baadhi ya wanaume huwapa wanawake ambao wamekutana nao cku mbili zilizopita hadi usd 5000 (Tshs million 11) ili tu wapate mzigo mara nyingi hao wanaume hawapati hata busu toka kwa hao wanawake achilia mbali papa yenyewe.

Kwenye sekta ya mahusiano naona kwa kiasi fulani wanawake wametuzidi akili, huwezi kuta mdada amekaa anaanza kutuma sms Za kimapenzi kwa wanaume asiowajua mtandaoni, huwezi kuta mwanamke anatumia asilimia 60 ya mshahara wake kuwapa wanaume wanne tofauti ili afanye nao mapenzi.

Wanaume tuache wenge na tupunguze njaa ya ngono, tu-focus kwenye kujijenga kiroho (Tumtafte Mungu) tujijenge kiuchumi kwa manufaa yetu, ya ndugu zetu, Wake na watoto, watu jirani wanaotuzunguka na taifa kwa ujumla.

Kulala na wanawake wengi au kulala na kila mwanamke unaemuona sio sifa wala ujanja.
Hili bango refu sana ila haliko kwenye uhalisia.

Pesa ya mwaume huliwa na mwanamke ambaye sio ndugu. Mambo yote tunayofanya kwa asilimia kubwa ni kwa ajili ya mwanamke.

Na kama umejua siri ya dm za wanawake basi wewe ni mtu wa wanawake na ndio mtumaji wa sms 60 mfululizo.

Wanaume tutafute pesa tutaondokana na sonona ya mahusiano na pesa
 
Walivyo vichwa ngumu watajitia huu uzi hawajauona watapita zao kimya kimya..!!
Na mkijaribu kuichunia thread kila mmoja ataikuta link inbox, mnataka mtausoma, hamtaki mtausoma, na tutawapiga maombi mpaka mbadilike.!

Nipo nyumbani, anayetaka kunipiga aje..!!
Tumeuona hasa sema unataka kupigwa wapi mashavuni au matakoni?
 
Sure mkuu,ndomana mm nikaoa mwanamke mweupe mwenye chura ili kuokoa upotevu wa pesa wa kibwege kama huoo,nikiona mdada mwenye chura hata kama nikimtamani najisemea moyoni"mbona na wife chura anayo" basi nampotezea..nikipiga mechi za nje ujue huyo mtu kawa interested na mm yaan kanishobokea na hawa always huwa hawana vizinga...na unakuta wale wengne wa kujitegesha huwa nawatolea nje mapema sana ili nisipoteze pesa
N.B Wanaume wengi wanapoteza pesa kwa wanawake wenye chura,,hakuna bwege atakayetuma laki sita kwa kidemu kimbau mbau HAKUNA,Yote hii sababu ni MATAKO tu...
[emoji23][emoji23][emoji23] nakubali TAKO ndio shidaaaa

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
Hili bango refu sana ila haliko kwenye uhalisia.

Pesa ya mwaume huliwa na mwanamke ambaye sio ndugu. Mambo yote tunayofanya kwa asilimia kubwa ni kwa ajili ya mwanamke.

Na kama umejua siri ya dm za wanawake basi wewe ni mtu wa wanawake na ndio mtumaji wa sms 60 mfululizo.

Wanaume tutafute pesa tutaondokana na sonona ya mahusiano na pesa
Kabisa,
Mtoa mada atafute Pesa, itampunguzia MDA wa Kujieleza Sana dm[emoji2]
 
Kuna mambo kiuhalisia ni magumu kuyakubali ingawa huwa ndiyo ukweli wenyewe
 
Sitongozagi kwenye mitandao kabisa Mie kidume Baba hahahaha

Eti nimtongize hata simjui naanzaje hivi labda kumporomoshea matusi Tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Lkn nshatongizwa na bi Dada hawa Dada zetu hawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wana mambo
 
mwanaume anafanyaga maamuzi ya kipumbavu sana akiwa na nyege.

kama ni mtu wa kubet akishinda laki anatafuta pisi inayomsumbua anaenda kula nae bata mpaka hela inaisha, kesho anarudi nyumbani na buku 5 ya supu asubuhi.

Mtoto wa daudi alimbaka dadaake kwasababu ya nyege.. alipomaliza akamfukuza (2 Samweli 13:1-16)

Mfalme Daudi alimgegeda mke wa askari wake pindi askari yupo vitani. (2 Samweli 11:1-4)

Yani mwanaume akisimamisha, akili yote inahamia chini. ndo mana malaya wajanja, kabla hujamtafuna anataka umpe chake mapema kabla akili hazijakurudia.. anajua ukishatoa wazungu tu akili zinarudi juu.. huchelewi kurudisha muamala uliokosewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

kwahio bro usishangae watu wanaohonga wanawake mahela mengi mengi, Mfalme Daudi aliua na kuua wakati yeye ndie mwenye makosa.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Mungu awapiganie kaka zetu aisee, nani aliandika majuzi hapa kuwa mwanaume akiweza kucontroll tamaa zake za mwili ataweza kucontroll vitu vingi sana maishani.
Kwa neema za Mungu. Shetani anatumia ngono kama tools kubwa sana ya uharibifu wa nafsi na maisha ya watu, sio kwa wanaume au wanawake.. na ukitaka lione tazama mitindo ya wanawake ni kichocheo pia ..
 
Sure mkuu,ndomana mm nikaoa mwanamke mweupe mwenye chura ili kuokoa upotevu wa pesa wa kibwege kama huoo,nikiona mdada mwenye chura hata kama nikimtamani najisemea moyoni"mbona na wife chura anayo" basi nampotezea..nikipiga mechi za nje ujue huyo mtu kawa interested na mm yaan kanishobokea na hawa always huwa hawana vizinga...na unakuta wale wengne wa kujitegesha huwa nawatolea nje mapema sana ili nisipoteze pesa
N.B Wanaume wengi wanapoteza pesa kwa wanawake wenye chura,,hakuna bwege atakayetuma laki sita kwa kidemu kimbau mbau HAKUNA,Yote hii sababu ni MATAKO tu...
Itoshe tu kusema, utafiti wako inabidi urudie kuufanya upya, kuwa na mkia sio sababu tosha ya mwanaume kutochepuka, na ili uhakikishe hili ninalosema, jiulize kwani hao vimbaombao hawapati wanaume? nasikitika sana kusikia fikra finyu kwa mwanaume au la niseme wewe ni mvulana ambapo ukifika uanaume utajua ninachomaanisha.
povu ruksa coz halinitishi.
 
Dada, uliwezaje kuingia hadi DM za akina dada wenzio? Kama unajiongelea mwenyewe sawa.
Nimefanya uchunguzi binafsi, ukitaka kujua ukweli ingia kwenye dm za wadada kwenye mitandao ya kijamii kama facebook, insta, humu jf, uone wanaume tunavojichoresha na kujidhalilisha na kujipendekeza Kwa kuwatumia wadada sms 20 za kimapenzi kwa mpigo, yoote hiyo ili upate attention ya mdada ambaye in real life humjui hakujui, Utakuta dm ya mdada imejaa sms toka kwa wanaume 9 tofauti, na hajawajibu hata mmoja bcoz Wote hawafahamu, sisemi its wrong kumtongoza mdada, ila tunatumia platform mbovu inayotufanya wanaume Tuonekane tuna njaa sana na ngono, ndio maana wanaume tunadharaulika.

Mtu unatumia laki 6 kumuhonga mdada uliekutana nae juzi Ili akupe penzi wakati huyo mdada hata hakujali, ukute hata hajakuomba io hela, hakuthamini, hajawahi kukupa Papuchi na hatokaa aje kukupa papuchi, wakati mdogo wako wa kike Kule kijijini hana hata sketi mbili na amekosa tshs elfu 80 ya ada..ila kijana mdogo wa kiume unawekeza hela kwenye ujinga, nilisoma mtandaoni kwa nchi kama Marekani kuna baadhi ya wanaume huwapa wanawake ambao wamekutana nao cku mbili zilizopita hadi usd 5000 (Tshs million 11) ili tu wapate mzigo mara nyingi hao wanaume hawapati hata busu toka kwa hao wanawake achilia mbali papa yenyewe.

Kwenye sekta ya mahusiano naona kwa kiasi fulani wanawake wametuzidi akili, huwezi kuta mdada amekaa anaanza kutuma sms Za kimapenzi kwa wanaume asiowajua mtandaoni, huwezi kuta mwanamke anatumia asilimia 60 ya mshahara wake kuwapa wanaume wanne tofauti ili afanye nao mapenzi.

Wanaume tuache wenge na tupunguze njaa ya ngono, tu-focus kwenye kujijenga kiroho (Tumtafte Mungu) tujijenge kiuchumi kwa manufaa yetu, ya ndugu zetu, Wake na watoto, watu jirani wanaotuzunguka na taifa kwa ujumla.

Kulala na wanawake wengi au kulala na kila mwanamke unaemuona sio sifa wala ujanja.
 
Hii pesa nimeisikia sehemu fulani kwenye mambo ya ugaidi...
Mtu unatumia laki 6 kumuhonga mdada uliekutana nae juzi Ili akupe penzi wakati huyo mdada hata hakujali, ukute hata hajakuomba io hela, hakuthamini, hajawahi kukupa Papuchi na hatokaa aje kukupa papuchi, wakati mdogo wako wa kike Kule kijijini hana hata sketi mbili na amekosa tshs elfu 80 ya ada..
 
Mdo wanapenda hivo sasa.Wasipotakwa wanaugua hawa
 
Tafuta pesa bwa’mdogo upunguze kuteseka.[emoji276]
 
UKWELI MTUPU.....

UMETEMA MADINI MATUPU.....

Wanaume hao wanaitwa "BETA MALES".....si WANAUME MAKINI kwenye LOLOTE LILE....amini ninakuambia......
BETA MALES 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
 
Nimefanya uchunguzi binafsi, ukitaka kujua ukweli ingia kwenye dm za wadada kwenye mitandao ya kijamii kama facebook, insta, humu jf, uone wanaume tunavojichoresha na kujidhalilisha na kujipendekeza Kwa kuwatumia wadada sms 20 za kimapenzi kwa mpigo, yoote hiyo ili upate attention ya mdada ambaye in real life humjui hakujui, Utakuta dm ya mdada imejaa sms toka kwa wanaume 9 tofauti, na hajawajibu hata mmoja bcoz Wote

Imeendikwa muishi nao kwa akili

Mithali 6:32​

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.​

 
Back
Top Bottom