Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Noma sana. Oa mkuu uwe na uhakika wa kumwaga uji.Hahaha nimeokoa mapato mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana. Oa mkuu uwe na uhakika wa kumwaga uji.Hahaha nimeokoa mapato mkuu
[emoji39][emoji849][emoji849]
Afu hao unaowahonga ukute wana mbunye za ajabu kinoma, kumpa pesa mwanamke asie kuhusu ni uboyaNimefanya uchunguzi binafsi, ukitaka kujua ukweli ingia kwenye dm za wadada kwenye mitandao ya kijamii kama facebook, insta, humu jf, uone wanaume tunavojichoresha na kujidhalilisha na kujipendekeza Kwa kuwatumia wadada sms 20 za kimapenzi kwa mpigo, yoote hiyo ili upate attention ya mdada ambaye in real life humjui hakujui, Utakuta dm ya mdada imejaa sms toka kwa wanaume 9 tofauti, na hajawajibu hata mmoja bcoz Wote hawafahamu, sisemi its wrong kumtongoza mdada, ila tunatumia platform mbovu inayotufanya wanaume Tuonekane tuna njaa sana na ngono, ndio maana wanaume tunadharaulika.
Mtu unatumia laki 6 kumuhonga mdada uliekutana nae juzi Ili akupe penzi wakati huyo mdada hata hakujali, ukute hata hajakuomba io hela, hakuthamini, hajawahi kukupa Papuchi na hatokaa aje kukupa papuchi, wakati mdogo wako wa kike Kule kijijini hana hata sketi mbili na amekosa tshs elfu 80 ya ada..ila kijana mdogo wa kiume unawekeza hela kwenye ujinga, nilisoma mtandaoni kwa nchi kama Marekani kuna baadhi ya wanaume huwapa wanawake ambao wamekutana nao cku mbili zilizopita hadi usd 5000 (Tshs million 11) ili tu wapate mzigo mara nyingi hao wanaume hawapati hata busu toka kwa hao wanawake achilia mbali papa yenyewe.
Kwenye sekta ya mahusiano naona kwa kiasi fulani wanawake wametuzidi akili, huwezi kuta mdada amekaa anaanza kutuma sms Za kimapenzi kwa wanaume asiowajua mtandaoni, huwezi kuta mwanamke anatumia asilimia 60 ya mshahara wake kuwapa wanaume wanne tofauti ili afanye nao mapenzi.
Wanaume tuache wenge na tupunguze njaa ya ngono, tu-focus kwenye kujijenga kiroho (Tumtafte Mungu) tujijenge kiuchumi kwa manufaa yetu, ya ndugu zetu, Wake na watoto, watu jirani wanaotuzunguka na taifa kwa ujumla.
Kulala na wanawake wengi au kulala na kila mwanamke unaemuona sio sifa wala ujanja.
Hawatakuelewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni saw na kutaka kubdilisha mkono kuwa mguu
UKWELI MTUPU.....Nimefanya uchunguzi binafsi, ukitaka kujua ukweli ingia kwenye dm za wadada kwenye mitandao ya kijamii kama facebook, insta, humu jf, uone wanaume tunavojichoresha na kujidhalilisha na kujipendekeza Kwa kuwatumia wadada sms 20 za kimapenzi kwa mpigo, yoote hiyo ili upate attention ya mdada ambaye in real life humjui hakujui, Utakuta dm ya mdada imejaa sms toka kwa wanaume 9 tofauti, na hajawajibu hata mmoja bcoz Wote hawafahamu, sisemi its wrong kumtongoza mdada, ila tunatumia platform mbovu inayotufanya wanaume Tuonekane tuna njaa sana na ngono, ndio maana wanaume tunadharaulika.
Mtu unatumia laki 6 kumuhonga mdada uliekutana nae juzi Ili akupe penzi wakati huyo mdada hata hakujali, ukute hata hajakuomba io hela, hakuthamini, hajawahi kukupa Papuchi na hatokaa aje kukupa papuchi, wakati mdogo wako wa kike Kule kijijini hana hata sketi mbili na amekosa tshs elfu 80 ya ada..ila kijana mdogo wa kiume unawekeza hela kwenye ujinga, nilisoma mtandaoni kwa nchi kama Marekani kuna baadhi ya wanaume huwapa wanawake ambao wamekutana nao cku mbili zilizopita hadi usd 5000 (Tshs million 11) ili tu wapate mzigo mara nyingi hao wanaume hawapati hata busu toka kwa hao wanawake achilia mbali papa yenyewe.
Kwenye sekta ya mahusiano naona kwa kiasi fulani wanawake wametuzidi akili, huwezi kuta mdada amekaa anaanza kutuma sms Za kimapenzi kwa wanaume asiowajua mtandaoni, huwezi kuta mwanamke anatumia asilimia 60 ya mshahara wake kuwapa wanaume wanne tofauti ili afanye nao mapenzi.
Wanaume tuache wenge na tupunguze njaa ya ngono, tu-focus kwenye kujijenga kiroho (Tumtafte Mungu) tujijenge kiuchumi kwa manufaa yetu, ya ndugu zetu, Wake na watoto, watu jirani wanaotuzunguka na taifa kwa ujumla.
Kulala na wanawake wengi au kulala na kila mwanamke unaemuona sio sifa wala ujanja.
👋👋Walivyo vichwa ngumu watajitia huu uzi hawajauona watapita zao kimya kimya..!!
Na mkijaribu kuichunia thread kila mmoja ataikuta link inbox, mnataka mtausoma, hamtaki mtausoma, na tutawapiga maombi mpaka mbadilike.!
Nipo nyumbani, anayetaka kunipiga aje..!!
Tumeusoma vzr tu mkuuWalivyo vichwa ngumu watajitia huu uzi hawajauona watapita zao kimya kimya..!!
Na mkijaribu kuichunia thread kila mmoja ataikuta link inbox, mnataka mtausoma, hamtaki mtausoma, na tutawapiga maombi mpaka mbadilike.!
Nipo nyumbani, anayetaka kunipiga aje..!!
Nakuja kukupasuaWalivyo vichwa ngumu watajitia huu uzi hawajauona watapita zao kimya kimya..!!
Na mkijaribu kuichunia thread kila mmoja ataikuta link inbox, mnataka mtausoma, hamtaki mtausoma, na tutawapiga maombi mpaka mbadilike.!
Nipo nyumbani, anayetaka kunipiga aje..!!
Umenikumbusha wahenga waliosema "si wote walio na macho wanaona"......Sure mkuu,ndomana mm nikaoa mwanamke mweupe mwenye chura ili kuokoa upotevu wa pesa wa kibwege kama huoo,nikiona mdada mwenye chura hata kama nikimtamani najisemea moyoni"mbona na wife chura anayo" basi nampotezea..nikipiga mechi za nje ujue huyo mtu kawa interested na mm yaan kanishobokea na hawa always huwa hawana vizinga...na unakuta wale wengne wa kujitegesha huwa nawatolea nje mapema sana ili nisipoteze pesa
N.B Wanaume wengi wanapoteza pesa kwa wanawake wenye chura,,hakuna bwege atakayetuma laki sita kwa kidemu kimbau mbau HAKUNA,Yote hii sababu ni MATAKO tu...