Wanaume tuliangalie na hili pia!

Wanaume tuliangalie na hili pia!

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
17,202
Reaction score
28,732
Maana Nyie Ndio kichwa Cha familia. Samahani naomba niwaulize. Hivi suala la mavazi ya heshima Kwa wake zenu kabla kuolewa na mlivyowaoa Nyie mnalionaje?

Maana ni kama na Nyie mmekaliwa vichwa humo ndani, au Ndio uzungu? Au ushamba wangu wa Mbeya. Sisemi kujitenga kwamba mimi ni mtakatifu no, huenda mimi Ndio siyo mkamilifu kabisa ila tu naona kama wanajiachia mno humo barabarani na nguo zinazoonyesha maungo ya ndani.

Naweza Bora Islamic women kidogo hujisitiri lakini nao baadhi Yao naona wamechoka kujivika nguo zao hizo,sijui ni nzito? Au zitakuwa na joto sana🤦. Ningeweza kushauri kuwa wanawake wenzangu tujisitiri tuonekane kweli tumeheshimishwa lakini naongea na Nyie mnaosema sisi ni vichwa vya familia ..

Mbona kama mmekua mkia, hamna sauti Yaan🤣🙊
 
Maana Nyie Ndio kichwa Cha familia. Samahani naomba niwaulize. Hivi suala la mavazi ya heshima Kwa wake zenu kabla kuolewa na mlivyowaoa Nyie mnalionaje?

Maana ni kama na Nyie mmekaliwa vichwa humo ndani, au Ndio uzungu? Au ushamba wangu wa Mbeya. Sisemi kujitenga kwamba mimi ni mtakatifu no, huenda mimi Ndio siyo mkamilifu kabisa ila tu naona kama wanajiachia mno humo barabarani na nguo zinazoonyesha maungo ya ndani.

Naweza Bora Islamic women kidogo hujisitiri lakini nao baadhi Yao naona wamechoka kujivika nguo zao hizo,sijui ni nzito? Au zitakuwa na joto sana🤦. Ningeweza kushauri kuwa wanawake wenzangu tujisitiri tuonekane kweli tumeheshimishwa lakini naongea na Nyie mnaosema sisi ni vichwa vya familia ..

Mbona kama mmekua mkia, hamna sauti Yaan🤣🙊
Tatzo hilo nalo ila asilimia kubwa wengi awapendi kujiweka vzuri cjui shida IPO WAP
 
Unaweza sema ila uelewa hususan mwanamke akiwa na hela umwambii kitu aisee atakuona🐂🐄🐄
🤣🤣🤣🤣 Ndo tunarudi pale Kuna mwamba alisema oa mwanamke wa level Yako, unaemmudu Yaan🤣🤣🤣 ila nimecheka aisee, anakuona ng'ombe?🤔🙌
 
🤣🤣🤣🤣 Ndo tunarudi pale Kuna mwamba alisema oa mwanamke wa level Yako,unaemmudu Yaan🤣🤣🤣 ila nimecheka aisee,anakuona ng'ombe?🤔🙌
Hahah😂😂 ata saizi yako cku akipata anukupita apo na mini na husemi chochote
 
Maana Nyie Ndo kichwa Cha familia.Samahani naomba niwaulize,Ivi suala la mavaz ya heshima Kwa wake zenu kabla kuolewa na mlivyowaoa Nyie mnalionaje?
Maana ni kama na Nyie mmekaliwa vichwa humo ndani,au Ndo uzungu? Au ushamba wangu wa mbeya.Sisemi kujitenga kwamba mi ni mtakatifu noo,huenda mi Ndo siyo mkamilifu kabisa ila tu naona kama wanajiachia mno humo barabarani na nguo zinazoonyesha maungo ya ndani.Naweza Bora Islamic women kidogo hujisitiri lakin nao baadhi Yao naona wamechoka kujivika nguo zao hizo,sijui ni nzito? Au zitakuwa na joto sana🤦.Ningeweza kushauri kuwa wanawake wenzangu tujisitiri tuonekane kweli tumeheshimishwa lakini naongea na Nyie mnaosema sisi ni vichwa vya familia ..Mbona kama mmekua mkia,hamna sauti Yaan🤣🙊
Hili nalo tutaliangalia
 
Mwanamke ambaye hakusikilizi na kukutii mume huyo hafai hata kwa kulumangia wangu nilimpiga marufuku kupaka rangi Kwa wapaka rangi wale vijana wanatembea na vijikapu, achilia mbali hayo mavazi
Utajitahid kumrekebisha ila usiishiwe na hela na nguvu za kiume viikisha hvo ata baibui LA milioni avai
 
Mwanamke ambaye hakusikilizi na kukutii mume huyo hafai hata kwa kulumangia wangu nilimpiga marufuku kupaka rangi Kwa wapaka rangi wale vijana wanatembea na vijikapu, achilia mbali hayo mavazi
Huo Ndo uanaume sasa, siyo kichwa Cha nyumba afu huna sauti.
 
Back
Top Bottom