Ah wapi... Evelyn Salt kakataa kunikaribisha kwenye kanisa alilookokaMimi,nikajua nawe tayari jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah wapi... Evelyn Salt kakataa kunikaribisha kwenye kanisa alilookokaMimi,nikajua nawe tayari jaman
Hahahaha.Ningeweza kushauri kuwa wanawake wenzangu tujisitiri tuonekane kweli tumeheshimishwa lakini naongea na Nyie mnaosema sisi ni vichwa vya familia ..Mbona kama mmekua mkia,hamna sauti Yaan🤣🙊
WEE,usiniambie nae ni newborn 😘Ah wapi... Evelyn Salt kakataa kunikaribisha kwenye kanisa alilookoka
Oh kashaokoka mwenzio...tena ni mwana kwaya kabisaaaM
WEE,usiniambie nae ni newborn 😘
Shida huwa tunashindwa kuwashape wanawake mapema, pale mapenzi yanapoanza wanaume tunapigwa upofu, unashindwa kumkanya, kumwambia Yale ambayo hatuyapendi mapenzi yakikomaa tatizo linaanzaHakika,upendo una nguvu sana
Ukiona hivyo hajapenda mkuu, mwanamke akipenda ataiba hizo hela kwao akuletee ufanye maisha, tafuta wa level yako mbona maisha ni haya haya mkuu.Atakuja ila atachoka akiona huna hela na mwelekeo wengi wanataka hela mkuu ndio mahaba yatanogalaization
Siku zote hata mnyama,ulivyoanza kumtreat mwanzo ndo ivoivo ulibadilisha tu nongwaShida huwa tunashindwa kuwashape wanawake mapema, pale mapenzi yanapoanza wanaume tunapigwa upofu, unashindwa kumkanya, kumwambia Yale ambayo hatuyapendi mapenzi yakikomaa tatizo linaanza
Mtu mzima habadilishwi tabia, anatakiwa atambue na ajitambue, kama mtu anashindwa kufanya reasoning juu ya maamuzi yake arudishwe chekechea huyo.Siku zote hata mnyama,ulivyoanza kumtreat mwanzo ndo ivoivo ulibadilisha tu nongwa
Nimerudi mjini Dar nihesabiwe kwanza Kisha najipanga Next week nianze misafara tena🤣🤣🤣Mbalali unakuja lini tena 😉
Nikubebee numbu pale Makambako?!Sawa🤜
Ndio kitu unapenda nami napatia wewe unyanduzi 🤣🤣🤣U mean uninyandue mkuu😳 kwanini unifanye Ivo ndugu yangu😔