Uko mbalali kumbe aah isije ikawa nakujua... mwalm wa rj au Mont?🤣🤣🤣Mbalali unakuja lini tena 😉
Am a newborn mkuu😉
OkNo,nipo mbeya.Ila mkuu huyu alifika Mbalali.
Kama ulimkuta hivyo ukakubali kumuoa utaanzaje kumpangia cha kuvaa?Kama mume kwani huwez niambia usivae hiki vaa kile.....au unaogopa nn
Hahahahaha 🤪 nikubebee kitu Gani?Numbu? Huku zipo za kuzidi....sema unataka nikutunzie kias gani😜
We funga macho mwanawane lete kitu bhana😂😂🤣Kuna mtu ananizagamua ndani ya ulokole huuhuu😜😉
Achana huyo kuja kipande hikiKwahiyo unataka mnizagamue wawili🤔🤦
😂 KumekuchaSasa wakijifunika sisi ambao hatujaoa tutaona wapi
Anataka kuona mazaga live 😂Kaona nazingua🤣🤣
Sasa unaonaje anayejiuza? Na ukioa huyo hutaweza kumcontrol maana yake umekubaliana na Hali yakeKwahiyo ukioa anaejiuza utamwacha aendelee kumwagiwa nje....