Jitahidi uwe na michepuko 20 ambayo haijaolewa,baadae ikishaolewa nawe utakuwa unajipigia tu kama anavyopogwa mkeoboss kwa hiyo kuchapiwa na Ex ni siri ya ndani?
Kumbuka
Dhambi isiyosameheka kwa mwanaume ni mke kuchepuka
Halafu sasa asilimia 70 ya wanawake wanaochepuka huwa wanaenda kuliwa TIGO.. Trust meTuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.
Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.
Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.
Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.
Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.
Usisingizie kukua.. Sio kila mwanamke anachepuka nje ya ndoa wapo wachache waaminifu Mimi sio mdogo kama unavyofikiria[emoji23][emoji23][emoji23]ukikua utaelewa sasa hivi we gonga papuchi tu
1.Mimi nanunuliwa na mme wangu.
2. mimini ki-potable.
3. nina watoto 4 na sina tumbo, najua kipi nile kipi niache sasa nyie endeleeni na machips yenu huko ya mafuta ya transformer.
4. Kuzaa kusilete udhuru eti lazma ufutuke, huo ni utapia mlo ndiyo maana hata COVID-19 imeondoka na watu wengi wanene, hujapata tu jibu unene ni utapia mlo?
Hahahame nikija kugundua mke wangu ananicheat NAMBAKA
kubaka mke ni kosa kisheria, lazma umuombe kama mtoto na akupe mwenyewe, tena achojoe mwenyeweHahaha
Hiki kitu kinakatisha tamaa mno.Na pia inaogopeshaa....hasa kwa ss tulio mbioni kuoa,
Piga moyo konde, kuchapa na kuchapiwa kupo aisee, kama hukumkuta mkeo akiwa bikra basi aliyemtoa mda wowote akitaka anapwa kukumbushiaHiki kitu kinakatisha tamaa mno.
WeeeePiga moyo konde, kuchapa na kuchapiwa kupo aisee, kama hukumkuta mkeo akiwa bikra basi aliyemtoa mda wowote akitaka anapwa kukumbushia
1 in 100 mkuu mie nayaelewa sana hayo mamboUsisingizie kukua.. Sio kila mwanamke anachepuka nje ya ndoa wapo wachache waaminifu Mimi sio mdogo kama unavyofikiria[emoji23][emoji23][emoji23]
HahahaViporo ni vitamu sana wakuu....ila inauma sana kujua mkeo ni kiporo cha kajamaa#obheja
HahahaMi kila nikisikia hizi story za kuchapiwa utumbo unauma
Ndugu unasema tuila Kama analiwa lazima utajua tu nakwambia lazima utajua labda uwe sio mtaalamu wa kuunganisha dots, kusoma Alama au hata huenda hujamzoea mkeo. Kuna wakina Mimi hata akitoka kuliwa lazima machare yacheze maana shetani kwa ujinga wake akimaliza kuwafanyisha dhambi huyo huyo anakuwa wa kwanza kutoboa Siri kwa ishara mbali mbali.
kuna kipind nilichapiwaga demu hakyanan mpaka kongosho ilihamia mgongoni,usiombe japo kupasha kiporo cha jiran raha ila kumbe na chako kinapashwaHahaha
Haha wewe jamaa pimbi kwelikuna kipind nilichapiwaga demu hakyanan mpaka kongosho ilihamia mgongoni,usiombe japo kupasha kiporo cha jiran raha ila kumbe na chako kinapashwa