Wanaume tuliooa ni vizuri tukawajua ma-Ex wa wenza wetu. Hawa watu wanatuchapia sana wake zetu

Wanaume tuliooa ni vizuri tukawajua ma-Ex wa wenza wetu. Hawa watu wanatuchapia sana wake zetu

boss kwa hiyo kuchapiwa na Ex ni siri ya ndani?

Kumbuka

Dhambi isiyosameheka kwa mwanaume ni mke kuchepuka
Jitahidi uwe na michepuko 20 ambayo haijaolewa,baadae ikishaolewa nawe utakuwa unajipigia tu kama anavyopogwa mkeo
 
kama sijuinwala sihisi hivyo basi hakuna tatizo Ila nilijua huwa Ni 1x1 dozi tayari iwe nimeamua kwa hasira au busara.
 
ila Kama analiwa lazima utajua tu nakwambia lazima utajua labda uwe sio mtaalamu wa kuunganisha dots, kusoma Alama au hata huenda hujamzoea mkeo. Kuna wakina Mimi hata akitoka kuliwa lazima machare yacheze maana shetani kwa ujinga wake akimaliza kuwafanyisha dhambi huyo huyo anakuwa wa kwanza kutoboa Siri kwa ishara mbali mbali.
 
Tuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.

Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.

Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.

Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.

Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.

Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.
Halafu sasa asilimia 70 ya wanawake wanaochepuka huwa wanaenda kuliwa TIGO.. Trust me
 
Mh! Siku zote nilidhani wewe ni ME.

1.Mimi nanunuliwa na mme wangu.
2. mimini ki-potable.
3. nina watoto 4 na sina tumbo, najua kipi nile kipi niache sasa nyie endeleeni na machips yenu huko ya mafuta ya transformer.
4. Kuzaa kusilete udhuru eti lazma ufutuke, huo ni utapia mlo ndiyo maana hata COVID-19 imeondoka na watu wengi wanene, hujapata tu jibu unene ni utapia mlo?
 
Usisingizie kukua.. Sio kila mwanamke anachepuka nje ya ndoa wapo wachache waaminifu Mimi sio mdogo kama unavyofikiria[emoji23][emoji23][emoji23]
1 in 100 mkuu mie nayaelewa sana hayo mambo
 
Hii 50/50 imekuja kuwapumbaza sana hawa Wanawake wa kileo, iko hivi

Tangu Awali Mungu Alipoiumba Dunia alimuumba Adam amiliki na kuvitawala vyote vilivyokuwemo Bustanini, hivyo asili ya Mwanaume ni Kumiliki na Kutawala, ukikosea hapo tu wewe mwanamke utaleta Ushindani ambao hata siku moja hutokaa Ushinde
 
Viporo ni vitamu sana wakuu....ila inauma sana kujua mkeo ni kiporo cha kajamaa#obheja
 
ila Kama analiwa lazima utajua tu nakwambia lazima utajua labda uwe sio mtaalamu wa kuunganisha dots, kusoma Alama au hata huenda hujamzoea mkeo. Kuna wakina Mimi hata akitoka kuliwa lazima machare yacheze maana shetani kwa ujinga wake akimaliza kuwafanyisha dhambi huyo huyo anakuwa wa kwanza kutoboa Siri kwa ishara mbali mbali.
Ndugu unasema tu
 
kuna kipind nilichapiwaga demu hakyanan mpaka kongosho ilihamia mgongoni,usiombe japo kupasha kiporo cha jiran raha ila kumbe na chako kinapashwa
Haha wewe jamaa pimbi kweli
 
Back
Top Bottom