Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Na mkeo anachapwa vivyohivyo ... Mzizi/muasherati Hana wivu ... Unawambato wanawake wangapi!!!?? Kwa nini wako akimbwato unakuwa mkaliiii!!?!??Mi mpaka kesho namchapa Ex wangu japo kaolewa na ana watoto wawili.
Na tunawasiliana kama kawa..mumewe akija ananiambia don't text again..na mm nakausha.
Ananipa changamoto za mumewe..tuna sort out na maisha yanaendelea.
Japo nataka niache maana si ka tabia ka zuri na kanaota mizizi daily.
Tuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.
Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.
Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.
Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.
Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.
Tuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.
Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.
Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.
Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.
Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.
HahaNdiyo maana wanaume tunakufa mapema uko bize kufikiria kupata hela uko bize kumkojoza mwenza wako Tena stress za kutaka kujua ex wamkeo
Mie sitaki kabisa kujua
Kwa kawaida Hilo shimo ni la mwanaume yeyote wewe umelipia tu liwe karibu na wewe lkn anayetembea nalo ndo anapanga Nani ampe muda upi
Mwanamke akiamua kupigwa rungu haki ya Nani waweza msindikiza kbs kwenda kuosha na dume jinginekabisa
[emoji849][emoji849]Siyo tu wananyanduliwa, wengine waume zao goigoi kitandani wakati x anampekenyua mpaka anakata network unatarajia nini? Mungu aturehemu. Mwaka jana nimekula milioni moja kimasihara, na mwaka huu nimekula tena. Ninamtepenyua alafu akifika kwake ananipongeza, Imethibitushwa.... umepokea 1,000,000. Sasa nifanyeje.
Wewe jamaa unajiona mjanja sana sio hahaSiyo tu wananyanduliwa, wengine waume zao goigoi kitandani wakati x anampekenyua mpaka anakata network unatarajia nini? Mungu aturehemu. Mwaka jana nimekula milioni moja kimasihara, na mwaka huu nimekula tena. Ninamtepenyua alafu akifika kwake ananipongeza, Imethibitushwa.... umepokea 1,000,000. Sasa nifanyeje.
Malipo ni hapa hapaWewe jamaa unajiona mjanja sana sio haha
HatariNoma sana mkuu inauma sana sema basi tu, achana na mtoa mada chukua mfano tu mtu wewe ni muaminifu kwa mwenza wako halafu yeye anakua sio muaminifu, mwisho wa siku me naona bora mtu ujue ukweli no matter utaumia kiasi gani ila mwisho wa siku utapona
HahaMalipo ni hapa hapa
Hivi kwanini....?Sijui kwanini Ex asilimia nyingi huwa hawaachani, naona huwa wanapumzika then penzi la mume ama la mke likipoa tu, wanaanza kutafuta viporo vyao popote pale vilipo kisha wanapasha.
Style gani hiyo....Vile ma Ex hu dance kwenye harusi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 1472979
Mr. kabanga soma hapa tafadhali, majibu yapo hapa.!!Kama atakuja kueleza itakua vizuri zaidi ila navyofahamu mimi, mtu yoyote utakayezini nae (kuzini kufanya mapenzi pasipo ndoa) kuna maagano ya kiroho mtayaweka.. Mfano mtu uliyezini nae ana ma laana ya ukoo wake, mikosi lazima na wewe utayapata kwa sababu unapozini na mtu mnakua ni kama mnafanya uumbaji.. Pia inakua kama mwili mmoja kwa wakati huo so kuna maagano mnakua mnaweka either mnajua au hamjui
Hii issue imekaa kiimani zaidi, kuvunja ndo mpaka nayo iwe kiimani zaidi, hasa maombi mazito ya kufunga na kuomba, kuna maombi ya kuvunja maagano ya kipepo, laana za ukoo n.k
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aje sasa kujitambulishaEx wa mke wako niko hapa Paploman
Hofu ya Mungu yes, amekuta si bikra na alipotoka hujui alikuwa anapigwa show gani, hebu nijuze wewe kama mwanaume utafanyaje?You said it all mkuu.
Tunaweza funga thread sasa
Ndo nimejitambulisha tayari.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aje sasa kujitambulisha
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
HahahaTuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.
Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.
Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.
Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.
Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.