PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
HahahaHofu ya Mungu yes, amekuta si bikra na alipotoka hujui alikuwa anapigwa show gani, hebu nijuze wewe kama mwanaume utafanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHofu ya Mungu yes, amekuta si bikra na alipotoka hujui alikuwa anapigwa show gani, hebu nijuze wewe kama mwanaume utafanyaje?
HahahaKuchapiwa ni siri ya ndani,usitafute mchepuko wa mkeo,utakuja kupata ugonjwa wa moyo.
HatariiIlikua zamani ambapo wanawake walijitunza sana sana na kuheshim wanaume wao sanasana.
Zaman kusikia mke wa fulan kaliwa, ilikua ni nadra.
Ila siku bwashehehehehehehe wanatiwa yaan siku hizi wake za watu wanatiwa mno.
MmmhMi ni mfupi 4'1 mweusi, kibamia, broke.
Kwa kifupi ni amenistiri. Am not gon blow up my chances of at least not dying alone over hiyo komedi unayotaka kunifundisha.
Sawa kabisa, tusianze kufunua siri zetu.Kuchapiwa ni siri ya ndani,usitafute mchepuko wa mkeo,utakuja kupata ugonjwa wa moyo.
We ushawahi!Sawa kabisa, tusianze kufunua siri zetu.
Mwaka huu vipiSiyo tu wananyanduliwa, wengine waume zao goigoi kitandani wakati x anampekenyua mpaka anakata network unatarajia nini? Mungu aturehemu. Mwaka jana nimekula milioni moja kimasihara, na mwaka huu nimekula tena. Ninamtepenyua alafu akifika kwake ananipongeza, Imethibitushwa.... umepokea 1,000,000. Sasa nifanyeje.
Mkuu heshima yako hope ulimtafunaX wako anakwambia hivi, unafanyaje ? View attachment 1476125View attachment 1476126
Tupe kisa mkuuMi nlimkuta wife na EX wake nlichanganyikiwa.
DuuhMkuu hata wewe wanamtafuna wa kwako..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha jamaa mmoja headmaster wa secondary alisafiri na mkewe kwenda kijijini kwao mwanamke kuhani msiba (ni mkoa flani kanda ya ziwa)
Walipofika huko kumbe kuna ex wa mkewe jamaa mmoja tena mwanakijiji mchafu mchafu hivi mke anamuaga jamaa usiku anamwacha chumbani peke yake eti anaenda kulala chumba cha wadogo zake wa kike akague madaftari yao na kuwashauri kuhusu masomo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa akawa anamkubalia mke anaenda anarudi alfajiri eti amelala na wadogo zake kumbe anapigwa pumbu na yule mwanakijiji jirani yao kila siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HahahaMi mpaka kesho namchapa Ex wangu japo kaolewa na ana watoto wawili.
Na tunawasiliana kama kawa..mumewe akija ananiambia don't text again..na mm nakausha.
Ananipa changamoto za mumewe..tuna sort out na maisha yanaendelea.
Japo nataka niache maana si ka tabia ka zuri na kanaota mizizi daily.
Utjinyonga wewe.Tuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.
Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.
Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.
Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.
Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.
apeche alolo unaposhauri kitu jua kuna watu wabaweza ku handle na wasioweza so be carefulTuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.
Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.
Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.
Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.
Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.
Hilo jimbo langu halipindui mkuu ila nishalisogeza pembeni longtime, jamaa nae apumue...Mkuu heshima yako hope ulimtafuna
Hata ukiwajua itakusaidia nn, na wewe tafuta ex wako umbanjue mambo yaisheTuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.
Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.
Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.
Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.
Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.
Inachoma sana kusikia mke wako analiwa na mwamba mwingineTuliooa tusijifariji, asilimia kubwa wake zetu wanachepuka na ni ngumu sana sisi wanaume kugundua.
Mwezi uliopita tu nimeshuhudia rafiki yangu wa karibu kabisa na wa tangu utotoni anamla Ex wake alieolewa japo walikuwa mbalimbali kwa miaka zaidi ya 4. Tulikuwa mkoani kikazi na mwanamke alirudi kwao kusalimia baada ya jamaa kupata habari Ex wake waliyekuwa wanapendana karudi kijijini kwetu kusalimia akamvutia waya wakazungumza waliyozungumza.
Mwanamke akapanga safari kuja mkoa tulipo (ni mkoa jirani tu kutoka mkoa wa kijijini kwetu), aliondoka kwao akiaga anaenda kwa dada yake kumsalimia ambae anaishi mkoa tulioko kwa muda huo, nadhani hata mumewe aliambiwa hivi.
Baadaye nilikuja kugundua kupitia kwa rafiki yangu, Dada mtu alielezwa kila kitu na huyu ndugu yake kwa hiyo alikuwa ni refa mzuri sana kwenye hii mechi ili isijulikane uovu wa ndugu yake, ni kwamba huyu rafiki amekula mzigo wa huyu Ex wake kila siku alipokuwa anapata nafasi kipindi chote tulipokuwa hapo mkoani mpaka tunaondoka.
Hawa watu sio maskini, wote wako vizuri kiuchumi sio jamaa yangu, huyu Ex wake wala mume wake Ex useme labda ni shida zimepelekea haya.
Japo hata mimi siwafahamu kabisa ma-Ex wa mke wangu lakini hili limenipa funzo kwamba yawezekana hata wangu analiwa kimfumo huu.
Naona mademu wanandika uzi wa kuoneana wivu