Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Nimeugua gono mara 4 hivi
Gono linanitesa Sana naomba msaada wewe umetibiwaje,
Nimetumia Ceftriaxone 1g injection
Doxycycline siku 10 bado sijasema.
Ilkua pumbu kushoto inauma Ila SASA naona iko Sawa, nimepewa tena cefixime 400mg 1*1/5
Azitromycin 1g stat
Ceftriaxone 1g injection
Metronidazole 400mg 7days
Naendelea na tiba mwezi wa Tatu SASA toka nianze dalili

Napata maumivu makali Sana nikikaa au nikilala au nikibanwa na mkojo. Je nikawaida. Usaha mimi nauna mara moja moja sana Hadi nikae Sana chooni nikijiminya ndio ukatoka, pia semen ipo kama na maji ya maziwa hivi nyepesi
 
Gono linanitesa Sana naomba msaada wewe umetibiwaje,
Nimetumia Ceftriaxone 1g injection
Doxycycline siku 10 bado sijasema.
Ilkua pumbu kushoto inauma Ila SASA naona iko Sawa, nimepewa tena cefixime 400mg 1*1/5
Azitromycin 1g stat
Ceftriaxone 1g injection
Metronidazole 400mg 7days
Naendelea na tiba mwezi wa Tatu SASA toka nianze dalili

Napata maumivu makali Sana nikikaa au nikilala au nikibanwa na mkojo. Je nikawaida. Usaha mimi nauna mara moja moja sana Hadi nikae Sana chooni nikijiminya ndio ukatoka, pia semen ipo kama na maji ya maziwa hivi nyepesi
Safi Sana teseka Kwan huoni kondomu buku tu inakusumbua hvyo
 
Gono linanitesa Sana naomba msaada wewe umetibiwaje,
Nimetumia Ceftriaxone 1g injection
Doxycycline siku 10 bado sijasema.
Ilkua pumbu kushoto inauma Ila SASA naona iko Sawa, nimepewa tena cefixime 400mg 1*1/5
Azitromycin 1g stat
Ceftriaxone 1g injection
Metronidazole 400mg 7days
Naendelea na tiba mwezi wa Tatu SASA toka nianze dalili

Napata maumivu makali Sana nikikaa au nikilala au nikibanwa na mkojo. Je nikawaida. Usaha mimi nauna mara moja moja sana Hadi nikae Sana chooni nikijiminya ndio ukatoka, pia semen ipo kama na maji ya maziwa hivi nyepesi
Mkuu mimi gono niliugua miaka ya 2017-2020 kipindi kile nilikuwa nameza Azuma 500mg od for 3days. Azuma za siku zile zilikuwa effective sana aisee. Nashangaa sana siku hizi wanaotumia Azuma hazitibu, sijui shida ni dawa au ni mutation kwa hawa Diplococci
 
Kikawaida mwanamke yeyote mwenye Gonorrhea, uke wake unatoa harufu kali sana. Hata ajioshe vipi K inanuka tu.

Mbaya zaidi yeye anayenuka siyo rahisi kujihisi kama ananuka.
 
Gono linanitesa Sana naomba msaada wewe umetibiwaje,
Nimetumia Ceftriaxone 1g injection
Doxycycline siku 10 bado sijasema.
Ilkua pumbu kushoto inauma Ila SASA naona iko Sawa, nimepewa tena cefixime 400mg 1*1/5
Azitromycin 1g stat
Ceftriaxone 1g injection
Metronidazole 400mg 7days
Naendelea na tiba mwezi wa Tatu SASA toka nianze dalili

Napata maumivu makali Sana nikikaa au nikilala au nikibanwa na mkojo. Je nikawaida. Usaha mimi nauna mara moja moja sana Hadi nikae Sana chooni nikijiminya ndio ukatoka, pia semen ipo kama na maji ya maziwa hivi nyepesi
Nenda kamuone Daktari haraka. Acha kununua dawa pharmacy. Kuna sindano Daktari atakuandikia, mbili tu umepona.
 
Kikawaida mwanamke yeyote mwenye Gonorrhea, uke wake unatoa harufu kali sana. Hata ajioshe vipi K inanuka tu.

Mbaya zaidi yeye anayenuka siyo rahisi kujihisi kama ananuka.
Hii nakataa mzee, kuna pisi kali wasafi knoma hawana harufu huko kwenye K na wana gono, labla hao wanaonuka ni wenye gono iliyokolea
 
Back
Top Bottom