Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Nakumbuka hapo mlandizi nikiwa nawakula dogo dogo mitaa fulani nyuma ya (kauli ya bibi bar) nililikwaa Gono kwa kadem flani kadogodogo,keupe,kazuri,chuchu mchongoma....haukadhanii kabisa aisee...

Kwenda kwa dokta akaniandikia madawa kibaao bili ikaja 51,000 huyu dokta tulikuwa tukikutana nae saana kauli ya bibi kwenye kumwagilia moyo vile vitu vyetu....

Alinichukulia nna hela saana...... nikamwambia dokta, labda ukae na leseni yangu I'll pay you end of the month...but for now I have only 11,000 only! in my pocket...

Nikashangaa anachenchi karatasi na kuandika andika madawa anayoyajua akanipa....

Madokta wa kisasa wa siku hizi Bwana unakadiriwa bei ya dawa kulingana na muonekano wako! wanajua wakuandikie dawa za kiasi gani, wanajua hautaruka! ...ukikaza! wanajifanya wanabadili dawa kumbe ni dawa zilezile...

All in all nilipona Gono within 2 days...
Hiii bar ina vibe kuna malaya sana
 
Kwa Yale mafunzo niloyopitia Cuba,nadiriki kusema Wewe jamaa una maneno mengi Ila sio mtendaji Kama wengi wanavyokufikiria.....ungekuwa mtendaji usingethubutu kuharibu CV yako hadharani🤣🤣🤣🤣🤣watendaji na HIV zao wako kimya wanatafuta mawindo na wanakemea Sana ngono zembe
Vizuri kama umeng'amua hilo. Basi nipee mbususu nione huruma jamani nyeto nimeichoka🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nakumbuka hapo mlandizi nikiwa nawakula dogo dogo mitaa fulani nyuma ya (kauli ya bibi bar) nililikwaa Gono kwa kadem flani kadogodogo,keupe,kazuri,chuchu mchongoma....haukadhanii kabisa aisee...

Kwenda kwa dokta akaniandikia madawa kibaao bili ikaja 51,000 huyu dokta tulikuwa tukikutana nae saana kauli ya bibi kwenye kumwagilia moyo vile vitu vyetu....

Alinichukulia nna hela saana...... nikamwambia dokta, labda ukae na leseni yangu I'll pay you end of the month...but for now I have only 11,000 only! in my pocket...

Nikashangaa anachenchi karatasi na kuandika andika madawa anayoyajua akanipa....

Madokta wa kisasa wa siku hizi Bwana unakadiriwa bei ya dawa kulingana na muonekano wako! wanajua wakuandikie dawa za kiasi gani, wanajua hautaruka! ...ukikaza! wanajifanya wanabadili dawa kumbe ni dawa zilezile...

All in all nilipona Gono within 2 days...
Ni asali ya bibi.
 
Kinene alikuwa rafiki yangu na pia sikiwa nakutana naye sana kwani mimi nilikuwa CBA so hatukuwa tunakutana naye sana. Sisi alikuwa Mama Assenga yule wa Biology ndio tulikuwa tunakutana naye sana.
Safi. Saana mgalatia.

Nyinyi ndio mliwaharibu watoto WA mzee kinara.

Nilipita pale mwanzoni MWA miaka ya 2010's

Wazee wa baikoko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gorno mwanamke anaweza kuwa nalo na asijijue, hawa wenzetu miili yao inahimili aina hiyo ya magonjwa kama mwanzoni. Ukija kuona hadi dalili zinaonekana, jua umefika pakubwa
Sio kama mwili unahimili hapana,mostly wanashindwa kutofautisha hali ya ute wa kawaida na tatizo hasa kwenye hatua za mwanzo,kumbuka hawa njia ya mkojo ni tofauti na uke hivyo akikojoa hapati maumivu kama mwanaume ndio maana wanajigundua tatizo likiwa kubwa au mwanaume aliyeambukizwa naye ausanue
 
Mwingine akipewa majibu anaenda kujiua chap...sio kila mtu anauwezo wa kupokea ushauri,yasikie kwa jirani yasikukute unaweza kujipupulia mbele ya DK [emoji16][emoji16]
Sio kila mtu ana moyo wa kupokea majibu,,,,mwingine akiambiwa anaanza kuwashwa hapohahapo,kitapika,kuharisha,anaota mapunye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora tu mstuko yaani
 
Nakumbuka nililata dem fulani ana mwili mkubwa ila bado mdogo chuchu saa sita nilikutana nae kwenye daladala na alikua mgeni mgeni mjini ametoka usukumani.

Nilimwomba gemu tukakubaliana twende guest fulani asee alikua mzuri kwa sura na umbo cha kushangaza k yake ilikua ndogo ila ina kaharufu fulani kabaya nilifanikiwa kupiga hivyo hivvo .

Wakati tunaendelea na show alitokwa na damu nkahofia kuingia period akasema hapana mashine yangu kubwa inamchubua .

Nilianza kupata gono baada ya siku mbili ila niliwahi ko haikunitesa.
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom