Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Bado sanaa.. enzi zangu hao ni wa siku nne za wiki tu.. maana kuna kipindi mtu unapiga hata wanne kwa siku 🀣🀣🀣🀣🀣 naona mie kama nimefika kabisa mia tanoo.. alafu gono akaja nipa mmoja tu . ila Mungu kanilinda sanaaa huko kote sijawai pata hata hiv.. na wengine unatoka mkaza unakaa kijiweni washkaji wanasema yule ana wayaaa 🀣🀣🀣 ila unajikaza tu
Niki andaa tuzo zangu za heshima kwenye hii gemu ntakuwekea mkuu.........una anzaje kua MWANAUME wakati hata 50 hujafikisha...haya sio maneno yangu ni maneno ya mpira njia...

πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
Back
Top Bottom