Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Mm nilimchana habr za unafk snaga
 
Ngoja tuone watakuja wangapi?
 
Mungu anisaidie nisiuguee gono manaake ni karaha na ni aibu.ila nilishawahi ugua chylamidia ni kama gono ila lenyewe haliumi ila utachafua boxer sana na ute ute kama bao vilee ila sio usaha..na huu ugonjwa naona ndio umeingia sana siku hizi huku mtaani alinipa demu ambaye huwezu mzania msafi mzurii kaajiliwa aani ana sifa zote za uanamke .ndomu muhimu wakuu
 
Hiyo kitu mi niliipata zamani sana.kuna kitoto kilikuwa kinaitwa mwajei kiko bomba hata vinyonyo hamna!kwa miaka hiyo niko chalii sikujua hata kana miaka mingapi.niliingiza tuu chap na wazungu hao sikupiga hata tako 3.

Kesho yake mchana naona chupi inanata kwnye ndonga.nikajua lbd ni vishaawa tuu.jioni unajua ndo magonjwa mengi yanaanza kufumuka.nikaanza kuliskia sasa mzeeiyaa..nikamwambia tu bro.

Akanipeleka kwa nesi fulani hapo tulipitia famasi tukanunua gentamycine(sio popoma)ile ya vimaji na sindano 2.

Nikapigwa tako zote hapo nikaenda kulala.nikapona kabisa.
 
Chlamydia ni bacteria wenzetu hawa wana strongly positive correlation with bacteria inabid tujikinge sana la sivo tutaabika sana vituo vya afya
 
Hivi gono unaweza pata ukiwa umevaa condom?
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… gonjwa la aibu
 
Asante sana mkuu Kwa ushaur nasaha..,

Sizani kama Kuna lisaa linapita hapa ulimwenguni bila Mbususu kuchakatwa

Naomba kuwakilisha mwenyekiti Kwa Sasa ni hayo tuu 😊😊😊😊😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…