Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
💯Hivi gono unaweza pata ukiwa umevaa condom?
Unapata yaan ata ukijigusa hata na ndomu iliyo tumika ule unyevunyevu tayar...
Nazungumza hapa kama mdau wa afya MWANDAMIZI senior
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯Hivi gono unaweza pata ukiwa umevaa condom?
Wahi kituo cha afya bruh 😁Me naona kama muwasho flani iv kweny mrija wa **** na niliuza mechi week mbili zimepita kwa uzoefu wangu gono linakuwa na matokeo ya haraka kwa mwanaume hii vp watalaamu au inanivutia muda tu ije kuniabisha[emoji51][emoji51]
Duh balaaa💯
Unapata yaan ata ukijigusa hata na ndomu iliyo tumika ule unyevunyevu tayar...
Nazungumza hapa kama mdau wa afya MWANDAMIZI senior
Umeshayakanyaga mzee mwenzangu [emoji28][emoji28]Duh balaaa
Inaweza kuwa U.T.I hiyoMe naona kama muwasho flani iv kweny mrija wa **** na niliuza mechi week mbili zimepita kwa uzoefu wangu gono linakuwa na matokeo ya haraka kwa mwanaume hii vp watalaamu au inanivutia muda tu ije kuniabisha[emoji51][emoji51]
Jesussssssssssss🤣🤣🤣Nina uzoefu kama nyani mzee 😅😅😅
Ngono zembeMm bado ntabaki na msimamo wangu uleule kwamba hawa ndugu zetu tuliowatoa ubavuni mwetu japo ni watamu lakini pia wanatusababishia matatizo makubwa mno.
HISTORIA YA KWELI
Mnamo mwaka juzi mwezi wa sabasaba hizi kulitokea kadada kamoja kalinisumbua sana mungu si athumani akakubali ombi mtoto aliumbika nyuma anamkia kama wote hizo chuchu sasa ni hatari tunyonyo tudogotudogo na vishazi vya kutapeliwa wajinga na wajanja.
PICHA LINAANZA
Baada ya kupita kama siku 3 hivi za kuomba mbususu, demu akakubali nikasema usiwe tabu njoo geto akasema geto kwako siji watamwambia mama majirani twende gesti kidume sikulaza demu nakumbuka kipindi hicho nilikua dalali wa simu ikibidi niuze simu moja kwabei ya hasara ili nikachakate mbususu mungu si athumani nikafanikiwa kuuza spark 2 kwa 50k fast.
PICHA LINAENDELEA
Tukifika gesti nakumbuka nililipa 20k nikapewa key nikatoe hukumu kwa huyu binti, nilivofika tu ndani sikutaka kupoteza muda nikachukua mafuta nikalamba kwanza "k" ulivotoka utelez tu nikiingiza rungu nikachakata kama dakika 23 hivi wazungu hao kipindi hiko najisemea kimoyomoyo wacha anione kolo ninaupwiru ndo maana sijamuandaa kumbe nilikuja na technique mpya ya kuanzia in descending order. Kabla sijaanza chapili ndo nikaanza kumuandaa sasa ili nichakate vzur na nkifata sheria zote za mafundi wa ngono na nakumbuka nilipiga vitatu tu.
BAADA YA SIKU 1 KUPITA
Nakukumba nlikua naenda kukojoa asubuh baada ya kuamka sasa natoa mjegeje nikojoe naona wese halitok naongalia kichwani nakuta kuna usaha umeganda nikipigwa na butwaa nikachukua kadi ya bima fasta nikaenda Marie stopes kupima nikaambiwA nina gono lakini kupima Hiv nikaoneka negative nilifurahi sana
USHAURI: USIUZE MECHI WANAWAKE NI WAJANJA SANA WANATAFUTA WAKUFA NAO
Kumbe na UTI inapigo izoInaweza kuwa U.T.I hiyo
Ah sasa gono kitu gani wewe mie nina ngoma kabisaUmeshayakanyaga mzee mwenzangu [emoji28][emoji28]
Kumbe una certificate, mimi naifukuzia iyoAh sasa gono kitu gani wewe mie nina ngoma kabisa
Usijali ukiitaka utaipata tuuKumbe una certificate, mimi naifukuzia iyo
Ndio unaweza pata kipindi unaivua ndomu kama hauko makiniHivi gono unaweza pata ukiwa umevaa condom?
Mlegezo ni moja ya setback ya kondom, unaivaa vizuri ila ikifika katikati unashitukia imeshakuwa nusu mlingotiUkivaa mlegezo unapata?
Hizi condom ni effective bao la kwanza, kwa bao la pili na kuendelea hapo kupasuka ni 50-50 (hasa hizi za kibongo), ukichanganya forward backward na circular movement. Utasikia kitu inaitika lakini ile raha ya ghafla ya nyama kwa nyama utachomoa baada ya kuwaleta wazungu.Hivi gono unaweza pata ukiwa umevaa condom?
🤣🤣🤣🤣🤣 Sii mchezo kitu ni tamuuuHizi condom ni effective bao la kwanza, kwa bao la pili na kuendelea hapo kupasuka ni 50-50 (hasa hizi za kibongo), ukichanganya forward backward na circular movement. Utasikia kitu inaitika lakini ile raha ya ghafla ya nyama kwa nyama utachomoa baada ya kuwaleta wazungu.
hahahahahahahaAMINA KIJORA ANILIPA U.T.I SUGU ILE YA KUCHOMWA SINDANDO
MAMY ZE BOSS ALINIPA GONO
SIKUVAA BOKSA MIEZI 6 NILIKUWA NATEMBEA KAMA NINA BUSHA
KUKOJOA KAMA NIMEPIGWA SHOTI
NILIKUWA NALALIA MGONGO TU MAANA UKILALIA TUMBO KICHWA CHA UUME KINAPIGA SHOTI MUDA WOTE