Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Kwenye ukweli, tuambiane ukweli!....

Huwezi kuitwa mwanaume kamili/Shababi..... kama hujawahi likwaa Gono.......Tusidanganyane! Humu...wengi wetu 90💯.... Tulishalivagaa....huo ndio ukweli,
.....
 

Attachments

  • _20230130_200043_1.JPG
    _20230130_200043_1.JPG
    19.1 KB · Views: 35
Mie niliambukizwa gono na Dada moja ya kisabato,Dada alikuwa anasali yule-yani akitoka kazini kwake ni yeye na kanisani na alikuwa kiongozi wa kwaya.

Nililala nae mara 6,na nilisitisha kuendelea naye baada ya kunipa gono.nikatumia vidonge havikufua dafu mpaka sindano ndio nikaka sawa.

Cha ajabu yeye anasema hana,namuuliza Dokta akasema kisonono kwa mwanamke anaweza akaishi nacho hata 10 yrs na kisionekane.
 
AMINA KIJORA ANILIPA U.T.I SUGU ILE YA KUCHOMWA SINDANDO

MAMY ZE BOSS ALINIPA GONO
SIKUVAA BOKSA MIEZI 6 NILIKUWA NATEMBEA KAMA NINA BUSHA
KUKOJOA KAMA NIMEPIGWA SHOTI
NILIKUWA NALALIA MGONGO TU MAANA UKILALIA TUMBO KICHWA CHA UUME KINAPIGA SHOTI MUDA WOTE
[emoji38][emoji38][emoji38]nmecheka utadhan mazuri[emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sasa umekula kavu jana unapima HIV kesho

Anyway nilikua naona kwa wagonjwa tu mpaka nilipokutana na husna kimodo dadekii
Yani kabla ujakojoa unalia mchozi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Yani kabla ujakojoa unalia mchozi [emoji119][emoji119][emoji119]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Usiamini MTU. Mimi aliniambukiza demu Fulani mbichi kabisa anafanya kazi serikalini, bahati nzuri sikushuka uvinza. Kibaya zaidi niliwajibika kwa girl friend wangu wa kipindi hicho siku hiyo hiyo.Eebwanae. Kumwambia girl friend anayekuamini kwamba umemuambukiza gono Ni mbombo ngafu.
Kwaiyo nawe ulisambaza mkuu[emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
2010 tulipiga mande masela 10 tukijua tumemkomoa yule malaya doh!!!
Maajabu ni kwamba kuna walioumwa gono,kaswende na uti mpaka nikajiuliza huyu demu ana juju au veep...

Nikajuta na zile pushapu nilizokua napiga..(nilikua na tabia ya kupiga pushapu wakati nasubiri foleni ili damu ichanganye..)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nmecheka mpaka Basi
Kama nakuona vile unavosubiri foleni[emoji38][emoji38]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye ukweli, tuambiane ukweli!....

Huwezi kuitwa mwanaume kamili/Shababi..... kama hujawahi likwaa Gono.......Tusidanganyane! Humu...wengi wetu 90[emoji817].... Tulishalivagaa....huo ndio ukweli,
Binafs na utukutu wote sijawahi mkuu[emoji4]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom