Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Hahaaaaaa, sijui ni gono au kaswende ila sitaki kukumbuka. 2005 nilitembea na Dada mmmoja, Nilianza kukojoa mkojo wa njano na jamaa kuuma then vikaanza vipele na kujikuna. Ugonjwa ule ulikaa muda mrefu na nilipoenda Galanos, wanafunzi wenzangu wakanishtukia maana sio kwa kujikuna vile mpaka najisahau. Wakanishtukia mwisho nikaenda Hospitali pale Tanga. Siwezi kusahau yale Masindano na madonge. Zile sindano ni kubwa ile mbaya.
Hahaha hukupigwa bakora na Mr msocha??

Mama Mgina
 
Hahaaaaaa, sijui ni gono au kaswende ila sitaki kukumbuka. 2005 nilitembea na Dada mmmoja, Nilianza kukojoa mkojo wa njano na jamaa kuuma then vikaanza vipele na kujikuna. Ugonjwa ule ulikaa muda mrefu na nilipoenda Galanos, wanafunzi wenzangu wakanishtukia maana sio kwa kujikuna vile mpaka najisahau. Wakanishtukia mwisho nikaenda Hospitali pale Tanga. Siwezi kusahau yale Masindano na madonge. Zile sindano ni kubwa ile mbaya.
Ni kaswende.. syphilis..huu ugonjwa unashambulia mdogomdogo lakini Ni hatari unaweza kuharibu Hadi ubongo ukawa kichaa..
 
Dom naskia imeoza balaa,
Gono la Dom naskia Ni la kimataifa[emoji1]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
kaa mbali kabisa na gono la dom.. dodoma naweza kukaa mda wowote bila kufumania nyavu.. napaogopa kama ebora 😅😅😅 hata ije pisi kali vipi na hela inipe sijaribu kuikula.. bora iende na utamu wake
 
mkuu imenipata wiki iliyopita. Ni Noma. sipati maumivu lakini kichwa kinatema usaa kama dragon.
Pole mkuu,inakera balaa yaani inakufanya unakuwa haupo comfotable kabisa...dawa yake ni azithromycine tablets ipo na vidonge vitaku ndani ya siku tatu inakata but inashauriwe utulie week mbili ndio unakuwa safe kabisa
 
Mm bado ntabaki na msimamo wangu uleule kwamba hawa ndugu zetu tuliowatoa ubavuni mwetu japo ni watamu lakini pia wanatusababishia matatizo makubwa mno.

HISTORIA YA KWELI

Mnamo mwaka juzi mwezi wa sabasaba hizi kulitokea kadada kamoja kalinisumbua sana mungu si athumani akakubali ombi mtoto aliumbika nyuma anamkia kama wote hizo chuchu sasa ni hatari tunyonyo tudogotudogo na vishazi vya kutapeliwa wajinga na wajanja.

PICHA LINAANZA

Baada ya kupita kama siku 3 hivi za kuomba mbususu, demu akakubali nikasema usiwe tabu njoo geto akasema geto kwako siji watamwambia mama majirani twende gesti kidume sikulaza demu nakumbuka kipindi hicho nilikua dalali wa simu ikibidi niuze simu moja kwabei ya hasara ili nikachakate mbususu mungu si athumani nikafanikiwa kuuza spark 2 kwa 50k fast.

PICHA LINAENDELEA

Tukifika gesti nakumbuka nililipa 20k nikapewa key nikatoe hukumu kwa huyu binti, nilivofika tu ndani sikutaka kupoteza muda nikachukua mafuta nikalamba kwanza "k" ulivotoka utelez tu nikiingiza rungu nikachakata kama dakika 23 hivi wazungu hao kipindi hiko najisemea kimoyomoyo wacha anione kolo ninaupwiru ndo maana sijamuandaa kumbe nilikuja na technique mpya ya kuanzia in descending order. Kabla sijaanza chapili ndo nikaanza kumuandaa sasa ili nichakate vzur na nkifata sheria zote za mafundi wa ngono na nakumbuka nilipiga vitatu tu.

BAADA YA SIKU 1 KUPITA

Nakukumba nlikua naenda kukojoa asubuh baada ya kuamka sasa natoa mjegeje nikojoe naona wese halitok naongalia kichwani nakuta kuna usaha umeganda nikipigwa na butwaa nikachukua kadi ya bima fasta nikaenda Marie stopes kupima nikaambiwA nina gono lakini kupima Hiv nikaoneka negative nilifurahi sana

USHAURI: USIUZE MECHI WANAWAKE NI WAJANJA SANA WANATAFUTA WAKUFA NAO
Ulilamba K hukupata gono la mdomo kweli?
 
Usiamini MTU. Mimi aliniambukiza demu Fulani mbichi kabisa anafanya kazi serikalini, bahati nzuri sikushuka uvinza. Kibaya zaidi niliwajibika kwa girl friend wangu wa kipindi hicho siku hiyo hiyo.Eebwanae. Kumwambia girl friend anayekuamini kwamba umemuambukiza gono Ni mbombo ngafu.
Mudi Mwanaharakati anasemaga ni MAE! 😂😂😂
 
Back
Top Bottom