Wengi mnanunua ndomu kienyejiMlegezo ni moja ya setback ya kondom, unaivaa vizuri ila ikifika katikati unashitukia imeshakuwa nusu mlingoti
Gono la mdomo au vipi[emoji848][emoji26]Ona sasa faida ya telegramView attachment 2635828
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo linaanzia hapo[emoji28]Hizi condom ni effective bao la kwanza, kwa bao la pili na kuendelea hapo kupasuka ni 50-50 (hasa hizi za kibongo), ukichanganya forward backward na circular movement. Utasikia kitu inaitika lakini ile raha ya ghafla ya nyama kwa nyama utachomoa baada ya kuwaleta wazungu.
Ujui Hata babu tale nae Ni dokta[emoji1]Ulishindwaje kutambua na ww ni dr shayo [emoji23]
Aisee polen Sana wakuu[emoji1]Maumivu ya sindano ya gono sio ya kitoto nyie[emoji23]
Dah![emoji848]mkuu imenipata wiki iliyopita. Ni Noma. sipati maumivu lakini kichwa kinatema usaa kama dragon.
Vinaitwaje mkuu[emoji4]Siku hizi kuna vidonge vya gono sio lazma sindano
Tusichanganye Mambo.
Ulijuaje makusudi mkuu?si ungetmia ndomMbona wao waliniambukiza kimakusudi. Wacha wenye tamaa wajutie tamaaa zao
Ndom haina utamuUlijuaje makusudi mkuu?si ungetmia ndom
Umecheka Hunifikii Mimi aisee[emoji38][emoji38]Huu uzi nimecheka,ila nimewahurumia vijana.Bora gono.Ngoma je?Cha muhimu tumieni kinga. Bora ujichue kuliko kuuza mechi wajameni wadogo zanguni .
Mie niliambukizwa gono na Dada moja ya kisabato,Dada alikuwa anasali yule-yani akitoka kazini kwake ni yeye na kanisani na alikuwa kiongozi wa kwaya.
.
Wanawake wanatembea wameoza aisee[emoji848]Mie niliambukizwa gono na Dada moja ya kisabato,Dada alikuwa anasali yule-yani akitoka kazini kwake ni yeye na kanisani na alikuwa kiongozi wa kwaya.
Nililala nae mara 6,na nilisitisha kuendelea naye baada ya kunipa gono.nikatumia vidonge havikufua dafu mpaka sindano ndio nikaka sawa.
Cha ajabu yeye anasema hana,namuuliza Dokta akasema kisonono kwa mwanamke anaweza akaishi nacho hata 10 yrs na kisionekane.
Mliendelea na mahusiano?Nakumbuka 2011 aliniambukiza ugonjwa wa zinaa, mbaya zaidi nilikuwa namuamini sana.
Sintoisahau hiyo siku.
Uko sahii kbs[emoji4]Kwa comment za huu uzi bakari nondo mwamnyeto anabaki kuwa beki bora mzawa kwa sasa katika league yetu.
Ushakua sugu kiongozi?Nashangaa ni Mwezi huu tu ndiyo sijaupata. Dawa za Gono zimenizoea hadi zinanionea Huruma.
Wao wanaambukizwa na wanaume.
Kuna dokta mmoja alisema wanawake wa Dom usafi Changamoto,pia wavivu wa kunywa maji,wakikojoa kojo TU linanuka balaa,vp ukipata gono la mtu asiekunywa maji linakua concentrated balaa[emoji4]kaa mbali kabisa na gono la dom.. dodoma naweza kukaa mda wowote bila kufumania nyavu.. napaogopa kama ebora [emoji28][emoji28][emoji28] hata ije pisi kali vipi na hela inipe sijaribu kuikula.. bora iende na utamu wake