Wanaume tumeruhusu wanawake wahodhi nguvu za kiroho (uchawi) then there is no hope for the future

Yeah wanawake wanaleta nuksi Sana kwa ajili ya Uchawi WA mapenzi, anaenda Kwa mganga ili akutulize mganga anamuagiza achukue vitu vyako vinachanganywa na madawa ya kichawi vinaenda kuzikwa kaburini, mwisho wa siku mashetani wa makaburini wanakuvaa na mikosi inaanza kukuandama
 
Wanawake wanapotezana sanaaa, kwa uchunguz wangu niligundua yule mwanamke anarafiki yakee mwanamke ambae kamfundisha huu ufisadi wotee.

Na asilimia 95% ya wanawake wanao tumia ushirikina hawana amani ktk ndoa zao. Uyo maza tangia anzee kujihusisha na maswala hayo hana maendeleo yoyote, naona siku izii mwendo wa kanisani chakushangaza sikuu moja nimechukua simu yakeee naona anaelekeza watu upotofu hapa ndiyo nikaelewa kuwa asili yakee nii upotofu. Siku ya mwisho kazii ipoo.
 
Nilipo ona inahusu uchawi nikaona nisome Tena mwanamke mchawi. Mana Kuna dada alikuwa anamsimulia my wife kwamba kuna mwanamke mchawi alikuwa anamjambia usoni. Akaona aende kwa Bibi yake akapewa dawa ya kumkomesha huyo mchawi mpaka akarukaruka .

Naona huu mtaa wetu Kuna wanawake wachawi wanasumbua sana. Tena hata mke wangu wanamsumbua sasa nawatafutia dawa niwasambalatishe kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kushindwa kutumia mamlaka yako kama mwanaume na kuamua kutumia uchawi kama suluhisho la kumdhibiti mkeo,
Unakuwa hauna tofauti na huyo mwanamke mchawi
WOTE HAMSTAHILI KUISHI
USIMUACHE MWANAMKE MCHAWI AISHI
USIMUACHE MWANAUME MCHAWI AISHI
 
Kushindwa kutumia mamlaka yako kama mwanaume na kuamua kutumia uchawi kama suluhisho la kumdhibiti mkeo,
Unakuwa hauna tofauti na huyo mwanamke mchawi
WOTE HAMSTAHILI KUISHI
USIMUACHE MWANAMKE MCHAWI AISHI
USIMUACHE MWANAUME MCHAWI AISHI
Kuna kitu hujaelewa
 
Mwandishi wa huu uzi wachana na Agano la Kale; usifundishe wakristu kulipa visasi, nenda kasome Agano Jipya.

Waebrania 8:13.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kushindwa kutumia mamlaka yako kama mwanaume na kuamua kutumia uchawi kama suluhisho la kumdhibiti mkeo,
Unakuwa hauna tofauti na huyo mwanamke mchawi
WOTE HAMSTAHILI KUISHI
USIMUACHE MWANAMKE MCHAWI AISHI
USIMUACHE MWANAUME MCHAWI AISHI
Wanawake hamna akili, uchawi mnautumia vibaya sana . Mnatusumbua nyie Yani . Mnakuja usiku mnatushika dudu .na mnaingiza dudu zetu kwa k zenu kiuchawi Yani.
Usimwache mwanamke mchawi haishi huu usemi ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake hamna akili, uchawi mnautumia vibaya sana . Mnatusumbua nyie Yani . Mnakuja usiku mnatushika dudu .na mnaingiza dudu zetu kwa k zenu kiuchawi Yani.
Usimwache mwanamke mchawi haishi huu usemi ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda mama ako na dada zako ndo hawana akili
Kuna wanaume wanafanya hivyo vitendo
Kwaio hata wewe huna akili tukigenerelize.
Judging from the way you are judging women
 
Labda mama ako na dada zako ndo hawana akili
Kuna wanaume wanafanya hivyo vitendo
Kwaio hata wewe huna akili tukigenerelize.
Judging from the way you are judging women
Hii confidence kama ya Shilole vile. Confidence ya tunguli...
 
Acha uvivu.

Na hiyo ni part 1 Tu.

Story ina Hadi part 12.

Watch Out
Weka hata page 10000 lkn najua hakutokuwa na kitu kipya ambacho me ckijui lbl tuu uwe unanikimbusha
 
Haki ya nani umesema ukweli kabisaaa!! wewe tuko kundi moja nami uko wapi mazee!! tutafutane! uone machejo!
 
Buhahahahahaha hahahaha Fala Sana we jamaa
Unaona mifano mingine iko humu humu!! Mpotezee Mkuu!! ndo walewale alisha kula vya matako huyo! hajitambui na siyo akili yake ni akili ya ki limbwata hii!! tena huyu lazima ataenda kumuonyesha mkewe hii thread!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…