Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,058
- 14,382
Habari zenu,
Ukizungumzia Wachezaji wenye Hekima na Kujali watu basi huwezi kuacha kumtaja Msenegal Sadio Mane.
Mane amekuwa ni msaada kwa jamii yake na ametufundisha kitu kwenye mahusiano pia, kitu alichotufundisha ni kwamba unapooa pambana upate Mwanamke ambae ni Mpya na asiekuwa na mapito ya hovyo.
Ni matumaini yangu kuwa Bwana Mane amekuta mzigo New na amekata utepe yeye mwenyewe kwa mke wake.
Nb. Sadio Mane ameoa Binti wa Miaka 18.
MIMI MJANJA M1 NAMPA PONGEZI SADIO MANE NA NITAJITAHIDI KUFUATA NJIA ZAKE (AMEN).
Ukizungumzia Wachezaji wenye Hekima na Kujali watu basi huwezi kuacha kumtaja Msenegal Sadio Mane.
Mane amekuwa ni msaada kwa jamii yake na ametufundisha kitu kwenye mahusiano pia, kitu alichotufundisha ni kwamba unapooa pambana upate Mwanamke ambae ni Mpya na asiekuwa na mapito ya hovyo.
Ni matumaini yangu kuwa Bwana Mane amekuta mzigo New na amekata utepe yeye mwenyewe kwa mke wake.
Nb. Sadio Mane ameoa Binti wa Miaka 18.
MIMI MJANJA M1 NAMPA PONGEZI SADIO MANE NA NITAJITAHIDI KUFUATA NJIA ZAKE (AMEN).