Wanaume tumuige Sadio Mane kwenye ndoa

Wanaume tumuige Sadio Mane kwenye ndoa

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Habari zenu,

Ukizungumzia Wachezaji wenye Hekima na Kujali watu basi huwezi kuacha kumtaja Msenegal Sadio Mane.

images (2).jpeg


Mane amekuwa ni msaada kwa jamii yake na ametufundisha kitu kwenye mahusiano pia, kitu alichotufundisha ni kwamba unapooa pambana upate Mwanamke ambae ni Mpya na asiekuwa na mapito ya hovyo.

Ni matumaini yangu kuwa Bwana Mane amekuta mzigo New na amekata utepe yeye mwenyewe kwa mke wake.

Nb. Sadio Mane ameoa Binti wa Miaka 18.

MIMI MJANJA M1 NAMPA PONGEZI SADIO MANE NA NITAJITAHIDI KUFUATA NJIA ZAKE (AMEN).
 
Ngoja wazee wa kushushana wakwazike binti huyo huyo ndie atatumika kama mtego wa kumweka ndani/jera mane,, na kwa jins watu weus ma niggar mlivyo na gundu uzunguni ngoja tuone refer kwa kina kanye nk......
 
Kwa nafasi aliyopo Mane naamini kila mwanamke angependa aolewe naye S. Mone,

Kwanza, ana jina kubwa kimataifa, ana hela, kafanya mengi kwenye eneo lake kwa jamii. Ni ngumu hata kusalitiwa na mchumba kwa uwekezaji alioufanya.
Mchumba japo mdogo ila naamini hata kumwambia maliza masomo tukaishi ulaya hawezi kiuka makubaliano ni mdogo.

Sasa kutana na wachumba wa Tz kamaliza masomo huna mbele wala nyuma kwa nini asikwambie we sio type yake! mbaya zaidi hata wazazi unakuta wanakutambua kuwa wewe ndo umemsomesha na kwao ulishawasaidia!

Anyway Tabasam la Mane halibadiliki ni 1 tu.
 
Kwa nafasi aliyopo Mane naamini kila mwanamke angependa aolewe naye S. Mone,

Kwanza, ana jina kubwa kimataifa, ana hela, kafanya mengi kwenye eneo lake kwa jamii. Ni ngumu hata kusalitiwa na mchumba kwa uwekezaji alioufanya.
Mchumba japo mdogo ila naamini hata kumwambia maliza masomo tukaishi ulaya hawezi kiuka makubaliano ni mdogo.

Sasa kutana na wachumba wa Tz kamaliza masomo huna mbele wala nyuma kwa nini asikwambie we sio type yake! mbaya zaidi hata wazazi unakuta wanakutambua kuwa wewe ndo umemsomesha na kwao ulishawasaidia!

Anyway Tabasam la Mane halibadiliki ni 1 tu.
Anyway Tabasam la Mane halibadiliki ni 1 tu
👍 👍 hapa ndo umeua kabisa
 
Habari zenu,

Ukizungumzia Wachezaji wenye Hekima na Kujali watu basi huwezi kuacha kumtaja Msenegal Sadio Mane.

View attachment 2866878

Mane amekuwa ni msaada kwa jamii yake na ametufundisha kitu kwenye mahusiano pia, kitu alichotufundisha ni kwamba unapooa pambana upate Mwanamke ambae ni Mpya na asiekuwa na mapito ya hovyo.

Ni matumaini yangu kuwa Bwana Mane amekuta mzigo New na amekata utepe yeye mwenyewe kwa mke wake.

Nb. Sadio Mane ameoa Binti wa Miaka 18.

MIMI MJANJA M1 NAMPA PONGEZI SADIO MANE, NA NITAJITAHIDI KUFUATA NJIA ZAKE (AMEN).
Kwetu mabinti wa miaka 18 wana expirience ya miaka 6 ya kugegedana na wengi wao teyari wanazile sugu sugu huko down.

Kwenu studio.
 
Habari zenu,

Ukizungumzia Wachezaji wenye Hekima na Kujali watu basi huwezi kuacha kumtaja Msenegal Sadio Mane.

View attachment 2866878

Mane amekuwa ni msaada kwa jamii yake na ametufundisha kitu kwenye mahusiano pia, kitu alichotufundisha ni kwamba unapooa pambana upate Mwanamke ambae ni Mpya na asiekuwa na mapito ya hovyo.

Ni matumaini yangu kuwa Bwana Mane amekuta mzigo New na amekata utepe yeye mwenyewe kwa mke wake.

Nb. Sadio Mane ameoa Binti wa Miaka 18.

MIMI MJANJA M1 NAMPA PONGEZI SADIO MANE, NA NITAJITAHIDI KUFUATA NJIA ZAKE (AMEN).
Kwaiyo unataka wachakate maclassmate harafu tuje kuoa watoto wa kaka zetu?
 
Ameinvest sana hapo amesomesha amefanya yote, Vikao vyenu wanaume si mnasema mchumba hasomeshwi?

Nadhani kuna principal za vikao hazifanyi kazi kwa hawa wenye mawe.

Hongera zao wamependeza sana. 😍
Ni mapema sana umetoa hukumu,subiri ndoa ichangamke kwanza utakuja kuikataa comment yako,

Huku kwenye vikao vyetu tunasema wataachana tu.

😀😀
 
B
Habari zenu,

Ukizungumzia Wachezaji wenye Hekima na Kujali watu basi huwezi kuacha kumtaja Msenegal Sadio Mane.

View attachment 2866878

Mane amekuwa ni msaada kwa jamii yake na ametufundisha kitu kwenye mahusiano pia, kitu alichotufundisha ni kwamba unapooa pambana upate Mwanamke ambae ni Mpya na asiekuwa na mapito ya hovyo.

Ni matumaini yangu kuwa Bwana Mane amekuta mzigo New na amekata utepe yeye mwenyewe kwa mke wake.

Nb. Sadio Mane ameoa Binti wa Miaka 18.

MIMI MJANJA M1 NAMPA PONGEZI SADIO MANE, NA NITAJITAHIDI KUFUATA NJIA ZAKE (AMEN).
Bado hajasolve, itokee leo Mbape au Chris Brown amtangazie ndoa huyu bint hakika Mane atapata tabu sana. Ujanja ni kutokuwapa ndoa tu yaani kuish nao na kuwazalisha bila ndoa.
 
Ameinvest sana hapo amesomesha amefanya yote, Vikao vyenu wanaume si mnasema mchumba hasomeshwi?

Nadhani kuna principal za vikao hazifanyi kazi kwa hawa wenye mawe.

Hongera zao wamependeza sana. 😍

Hata asingesomesha ila kwa mane alivyojitoa kwa watu wake na kwa wazazi wetu wa kiafrica, hapo hata binti angekataa posa yani kabla hajamalizia kauli kashapigwa kibao kitakatifu ili ubongo ukae sawa 😁😁😁
 
M
Mm kungwi nawambieni hapa Tanzania kumkuta binti ana miaka 18 halafu bikra HAIWEZEKANI. Ukiikuta ujue siyo OG, ni ile ya kuosha k kwa mkojo wa tembo
kojo wa tembo tena..dunia hii..khaa
 
Back
Top Bottom