[emoji23][emoji23][emoji23]nafwarikiMane cha mtoto. Hapa kitaa Kuna mume ana 47 mke ana 23, japo mke alipoyeza bikra miaka 10 iliyopita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]nafwarikiMane cha mtoto. Hapa kitaa Kuna mume ana 47 mke ana 23, japo mke alipoyeza bikra miaka 10 iliyopita.
SikupingiUkiwa unafuata njia zake uwe na hela na six packs vinginevyo ni kimbembe.
Sadio maneHabari zenu,
Ukizungumzia Wachezaji wenye Hekima na Kujali watu basi huwezi kuacha kumtaja Msenegal Sadio Mane.
View attachment 2866878
Mane amekuwa ni msaada kwa jamii yake na ametufundisha kitu kwenye mahusiano pia, kitu alichotufundisha ni kwamba unapooa pambana upate Mwanamke ambae ni Mpya na asiekuwa na mapito ya hovyo.
Ni matumaini yangu kuwa Bwana Mane amekuta mzigo New na amekata utepe yeye mwenyewe kwa mke wake.
Nb. Sadio Mane ameoa Binti wa Miaka 18.
MIMI MJANJA M1 NAMPA PONGEZI SADIO MANE NA NITAJITAHIDI KUFUATA NJIA ZAKE (AMEN).
Acha kuwasagia kunguni 😂😂😂😂Ni mapema sana umetoa hukumu,subiri ndoa ichangamke kwanza utakuja kuikataa comment yako,
Huku kwenye vikao vyetu tunasema wataachana tu.
😀😀
Akiii pesa wewe! Nisikushike! 🤣🤣🤣Hata asingesomesha ila kwa mane alivyojitoa kwa watu wake na kwa wazazi wetu wa kiafrica, hapo hata binti angekataa posa yani kabla hajamalizia kauli kashapigwa kibao kitakatifu ili ubongo ukae sawa 😁😁😁
Pesa sio kila kitu ila ukiikosa hakuna kitu utanunua 😁.. So tuzitafute tuAkiii pesa wewe! Nisikushike! 🤣🤣🤣
Mane 32 mke wake 18 hiyo ndio ndoa sasa lazima heshim iwepo ndani ya nyumba na yeye ndio anamsomesha mpaka hivi sasa nakamchumbia tangu binti ana miaka 16
Kapicha mkuu!🧐Mwamba amejitambua sana, wachezaji wengi wanaoa whites na kuishia pabaya, ref. Emanuel Ebue...
Sema sasa kanunua vanguard kwenye makaratasi kabisa, yaani unyunyu wa ndinga na zero km!!
Jiwe gizaniHata huko kwao wapo walioanza na 11 years. Tuache generalization. Mabinti bikra wako wa kutosha tu mitaani.