Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,296
mmewako akilogwa utajisikiaje?Na mrogwe tu,mmezidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmewako akilogwa utajisikiaje?Na mrogwe tu,mmezidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee balaa hiliiNdio maana mjomba wa rafiki yangu kasoma Havard bwana bwana yani kama kasoma zoom college haya mambo hatari ndugu wakigusa kwawe unaulizwa lini unarudi na nauli ya kurudi uwe nayo huyo mke wake ukimbishia tu utaumwa nusu uwe chizi
Ngoja wazee wa dini ya haki waje hapasio lengo langu ila ukweli ni kwamba wanawake wengi wa kiislamu ndo wenye kupenda mambo haya.
FoolishHivi kuna wanawake wa Kitanzania wasioamini haya mambo ya kichawi?
Alogwe tu si kayataka!! Angekituliza yasingemkuta hayo.mmewako akilogwa utajisikiaje?
Na mimi natafuta mtaalamu nikamuweke Mentor kwenye chupa atanipenda tu mwaka huuAlogwe tu si kayataka!! Angekituliza yasingemkuta hayo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na mimi natafuta mtaalamu nikamuweke Mentor kwenye chupa atanipenda tu mwaka huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mambo ya mtu kupaparika tena hatutaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki muweke tu maana hamna namna nyingine. Ukimpata mtaalamu nistue na mimi nimuweke sawa MO11
Aaah kabisa, lazima watulie.Sawa sawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mambo ya mtu kupaparika tena hatutaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna uislam unao ruhusu shirki miongoni mwa mambo yanayomtowa mtu kwenye uislam ushirikina upo miongoni so apo huitwi muislam tena !!sio lengo langu ila ukweli ni kwamba wanawake wengi wa kiislamu ndo wenye kupenda mambo haya.