Wanaume tuna kazi sana, huyu mwenzetu aliwekwa kweye chupa na kutupwa baharini

Wanaume tuna kazi sana, huyu mwenzetu aliwekwa kweye chupa na kutupwa baharini

Wanaume matajiri tunapaswa kuwa makini Sana,utajiri some time unatia hofu Sana Kama mimi hapa sitaki kabisa kuoa nanunua tu malaya ila nimeshazalisha wanawake watatu,mtu umepambana umekuwa tajiri,unaoa mwanamke anakuroga Kama hivi,kwa mwendo huu ubachela siachi

Sent using Jamii Forums mobile app
TAAA JIII RIII
 
Yan had hiyo chupa imefika nchi kavu, huyo mtu amshukuru Mungu.
 
Wanaume matajiri tunapaswa kuwa makini Sana,utajiri some time unatia hofu Sana Kama mimi hapa sitaki kabisa kuoa nanunua tu malaya ila nimeshazalisha wanawake watatu,mtu umepambana umekuwa tajiri,unaoa mwanamke anakuroga Kama hivi,kwa mwendo huu ubachela siachi

Sent using Jamii Forums mobile app
Unahisi hao uliozalisha hawezi kukuroga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa inavunjika muda si mrefu picha imeonekana bila chenga hii

Mkorintho wa 6
 
Back
Top Bottom