Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Duuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume matajiri tunapaswa kuwa makini Sana,utajiri some time unatia hofu Sana Kama mimi hapa sitaki kabisa kuoa nanunua tu malaya ila nimeshazalisha wanawake watatu,mtu umepambana umekuwa tajiri,unaoa mwanamke anakuroga Kama hivi,kwa mwendo huu ubachela siachi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app