Mkanganyiko kukanganya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2022
- 1,204
- 5,053
Tukiendelea kungoja makarani wafike
Wakuu kuna suala nalitafakari nakosa jibu nisaidieni!
Iko hivi wengi wetu tunachangamoto za ndoa hasa kutokumwamini mwenza kwa matokeo ya mbeleni kwa ndoa kuvunjika kwa dalili unazoziona.
Wanaume nafikiri tunaweka usiri ambao mwishowe ni hasara za mali kupotea kwa kutojulikana na mwenza wa ndoa, watoto au mwanafamilia yeyote ikiwa msiri huyo akafariki ghafla na siri zake mbavuni.
Unakuta mtu ananunua kiwanja, nyumba, mradi n.k alafu anafanya kwa siri mara ghafla kafariki. Mwishoe mali hupotea kwa kutowafaidisha jamii ya marehemu kwa wao kutokuwa na ufahamu wowote.
Nafikiri hata kama ni kutomwamini mke/mme kwa sababu za usaliti, chuki, ubinafsi, tamaa au choyo basi mali hiyo mtonye kijana wako au ndugu unaemwamini ili ukifa isipotee kwa kuwa tupo ili tufe muda wowote kuanzia saa hii.
Mfano, kuna jamaa fundi magari aliachiwa noah kitambo kauza kifaa kimoja to kingine mpk likaisha (wanadai muhusika alifariki na fundi kwa tamaa au kutojua sijui)
Nilitaka kusema kwamba kuna kiwanja jirani yangu hapa kina zaidi ya miaka mingi kilijengwa msingi tu kimetelekezwa miaka sasa ni pori na kipo kona nzuri mnoo na hakunaga mtu anakuja hata kulima au kusalimia majirani.
Nasubiria sensa wapite kunihesabu then najitoa ufahamu napandisha jengo mimi naona nimeokota kiwanja
Memba kuna mtu alishawahi okota kiwanja?? Vp je nikiendeleza jengo kitanuka nini
NB: picha siweki usijesema ni chako.
Asante
Wakuu kuna suala nalitafakari nakosa jibu nisaidieni!
Iko hivi wengi wetu tunachangamoto za ndoa hasa kutokumwamini mwenza kwa matokeo ya mbeleni kwa ndoa kuvunjika kwa dalili unazoziona.
Wanaume nafikiri tunaweka usiri ambao mwishowe ni hasara za mali kupotea kwa kutojulikana na mwenza wa ndoa, watoto au mwanafamilia yeyote ikiwa msiri huyo akafariki ghafla na siri zake mbavuni.
Unakuta mtu ananunua kiwanja, nyumba, mradi n.k alafu anafanya kwa siri mara ghafla kafariki. Mwishoe mali hupotea kwa kutowafaidisha jamii ya marehemu kwa wao kutokuwa na ufahamu wowote.
Nafikiri hata kama ni kutomwamini mke/mme kwa sababu za usaliti, chuki, ubinafsi, tamaa au choyo basi mali hiyo mtonye kijana wako au ndugu unaemwamini ili ukifa isipotee kwa kuwa tupo ili tufe muda wowote kuanzia saa hii.
Mfano, kuna jamaa fundi magari aliachiwa noah kitambo kauza kifaa kimoja to kingine mpk likaisha (wanadai muhusika alifariki na fundi kwa tamaa au kutojua sijui)
Nilitaka kusema kwamba kuna kiwanja jirani yangu hapa kina zaidi ya miaka mingi kilijengwa msingi tu kimetelekezwa miaka sasa ni pori na kipo kona nzuri mnoo na hakunaga mtu anakuja hata kulima au kusalimia majirani.
Nasubiria sensa wapite kunihesabu then najitoa ufahamu napandisha jengo mimi naona nimeokota kiwanja
Memba kuna mtu alishawahi okota kiwanja?? Vp je nikiendeleza jengo kitanuka nini
NB: picha siweki usijesema ni chako.
Asante