Wanaume tunadhalilishwa sana na wanawake huku mitaani

Kwasasa wanawake wanatutaka kwa lazima utake usitake

Zaman wanaume ndo tulikuwa tunatoa mimacho kwa kumwangalia mwanamke kwa kumtamani lakin siku hz wanawake ndo wanatoa mimacho
 
Nimekuja mbio nikajua Pope Francis na Ma Cardinal wamekuja kudaiwa Hela ya matunzo Kwa watoto Zao wa michongo waliozalisha kwa michepuko ya kiitaliano!
😁😁😁😁πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£ we ulikuja na stori yako sasa.
Siti ya mbele haikufai
 
πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£ we ulikuja na stori yako sasa.
Siti ya mbele haikufai
hahahhha Noma Sana mwanzo kichwa Cha habari kilisomeka Vatican:Wanaume tunadhalilishwa Sana kabla hawajaedit kichwa Cha habari ndio maana nikaja mbio nikidhani Vatican ya Roma kumbe ya Kinondoni!
😁😁😁😁πŸ”₯
 
Naunga mkono hoja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…