mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
View attachment 742789View attachment 742791View attachment 742792
Nimempata demu mkali sasa aliponawa uso tu uzuri wako wote akauacha kwenye sink
Wote hao wana sura za wizi za Kinigeria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 742789View attachment 742791View attachment 742792
Nimempata demu mkali sasa aliponawa uso tu uzuri wako wote akauacha kwenye sink
Mnatuibia Sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sijajua wewe kibonge[emoji23][emoji23] tulia tu mkuu
Wataufuta uzi mods maana wanapenda sana kufuta nyuzi zangu nadhani mimi ndo naongoza kufutiwa nyuzi humu jukwaaniWeka Na picha ya Joyce Kiria
Wewe mkubwa unafanya nini hapa na watoto???Shule zifunguliwe mana naona thread za kitoto zinaongezeka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwanamke mzuri hahitaji kujiremba sana na hayo matakataka ,,,,,,,mjini hapa unaweza uziwa mbuzi kumbe fisi mkuu.
Weka sura yako tuioneAsante Mungu team natural hatimaye tumeonekana
Kweli kabisaMaker up is the reason you have to take her for swimming in the first date
Picha ya nini we jua hivyo tuWeka sura yako tuione
[emoji23][emoji23][emoji23] inategemeaMnatuibia Sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sijajua wewe kibonge
Sasa nitajuaje bila Picha, mbona unakuwa kama sio mtoto wa mwananyamalaPicha ya nini we jua hivyo tu
Hapana aisee we niamini tuSasa nitajuaje bila Picha, mbona unakuwa kama sio mtoto wa mwananyamala
Wewe Na Mshana Jr, Nani nyuzi zake nyingi hufutwa au kuwa merged?Wataufuta uzi mods maana wanapenda sana kufuta nyuzi zangu nadhani mimi ndo naongoza kufutiwa nyuzi humu jukwaani
CHADEMA watakoma Na zoezi hili
MzeeMaker up is the reason you have to take her for swimming in the first date
Hahaah lazma atoke ndukiMzee
Ukimpeleka swimming at the first date, akikubali kwenda unitag.
Hakubali kabisa