Wanaume tunaibiwa sana kuanzia leo sitaki mwanamke anayepaka make up

Wanaume tunaibiwa sana kuanzia leo sitaki mwanamke anayepaka make up

Kuna mmoja nlikua nae
Sasa nkawa namwambia Kila sku stak upake hyo mikorongo


yako kwakua tulikua mbali mbali
Bhas akawa anajipaka ltu

Cku tunaonana nlimwambia
Chukua zako 50 tu
 
Kuna mmoja nlikua nae
Sasa nkawa namwambia Kila sku stak upake hyo mikorongo


yako kwakua tulikua mbali mbali
Bhas akawa anajipaka ltu

Cku tunaonana nlimwambia
Chukua zako 50 tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ahahhaha aisee!! Mkuu Duke Tachez umeongelea mada moja yenye kuhitaji mjadala wa kina sana, na ndio maana ndoa nyingi hazidumu kwa sababu huwa tunauziwa mbuzi kwenye gunia, mtoto mnaonana kazini tu anakuja anawaka kama jua la jangwani unashusha nondo kali kama za Controller Audit General (CAG) unakubaliwa kidogo harusi..... hapo unakuja kugundua the true color ya mama kijacho, aiseeee!!! aisee!! mfanyakazi mwenzangu alioa harusi ikafana sana kula kunywa hadi kusaza wazee wanateremsha maji ya mende wanamsifia bi harusi kwamba jamaa kajua kuchagua mwanzo mwisho, fungate limeisha siku ya kwanza jamaa anakuja na mamsapu wake job kumuonyesha kibaruani kwake, walivyoondoka huku nyuma ukazuka mjadala mkubwa sana ndie yeye ama sie? aiseee kaka Duke Tachez.....
 
ahahhaha aisee!! Mkuu Duke Tachez umeongelea mada moja yenye kuhitaji mjadala wa kina sana, na ndio maana ndoa nyingi hazidumu kwa sababu huwa tunauziwa mbuzi kwenye gunia, mtoto mnaonana kazini tu anakuja anawaka kama jua la jangwani unashusha nondo kali kama za Controller Audit General (CAG) unakubaliwa kidogo harusi..... hapo unakuja kugundua the true color ya mama kijacho, aiseeee!!! aisee!! mfanyakazi mwenzangu alioa harusi ikafana sana kula kunywa hadi kusaza wazee wanateremsha maji ya mende wanamsifia bi harusi kwamba jamaa kajua kuchagua mwanzo mwisho, fungate limeisha siku ya kwanza jamaa anakuja na mamsapu wake job kumuonyesha kibaruani kwake, walivyoondoka huku nyuma ukazuka mjadala mkubwa sana ndie yeye ama sie? aiseee kaka Duke Tachez.....
Hahaaaaa!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo maana mimi mambo ya make up nimepiga marufuku
 
Back
Top Bottom