Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Jaza dunia wewe, wakina abraham wangekuwa wachoyo wa uzao wao kama sisi, dunia ingekuwa imejaa mawe tu
Chata zinafanana na mzeeNusu ya hao watoto sio wake , kuna wahuni wamepita mle mle
Sina uhakika na hiloMajirani lazima wame msaidia mbegu sio bure🤣🤣
Haijalishi kama mbegu zilinasa ama hazikunasa, muhimu aliweza kuingiza kichakaniUna uhakika watoto wote wake?
Msifieni mwenzenu, maana wengi mpaka wake zao wabembeleze kila siku wamechoka, kila siku kuhairisha match[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nusu ya hao watoto sio wake , kuna wahuni wamepita mle mle
Mpeni sifa mwenzenuMajirani lazima wame msaidia mbegu sio bure[emoji1787][emoji1787]
Pongezi kwake maana wengine mke mmoja tu mpaka kwa mjumbe wanafika hawezi kitu nani zimechoka kama mkate uliolowekwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara hatuna nguvu, mara kimoja chalii, mara sitaki watoto wengi n.kHaya sasa, huyu ndiye mwanaume wa shoka anayetakiwa kuigwa na wanaume rijali, na mimi kama equation x nitafuata nyayo zake.
Kuhusu nitawalisha nini; msiniulize, jaribuni kumuuliza huyu alikuwa anawalisha nini!
Nb: Dunia inatakiwa ijae watu, na si mawe wala mapori; haya kazi kwenu
View attachment 2669753
Vyakula tunavyokula pamoja na kujijengea hofu ndio chanzo cha matatizoPongezi kwake maana wengine mke mmoja tu mpaka kwa mjumbe wanafika hawezi kitu nani zimechoka kama mkate uliolowekwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivyo ni visingizio namba mojaVyakula tunavyokula pamoja na kujijengea hofu ndio chanzo cha matatizo
Ongeza stressVyakula tunavyokula pamoja na kujijengea hofu ndio chanzo cha matatizo
Unafikiri tatizo linaweza kuwa niniHivyo ni visingizio namba moja
Tatizo tunawaza vitu vikubwa vilivyotuzidi uwezoKwa maisha haya ya stress, ni ngumu kuwa na watoto wote hao
Mke mmoja tu hata kumudu shida, unakuta mwanaume ugomvi kidogo na mkewe anaubeba kwa ndugu zake mwenyewe badala ya kumaliza na mkewe, kwahiyo mke anakuwa kaolewa na ukoo mzima, sasa hapo kuna mwanaume wa mbegu? Tuseme na malezi yamekuwa mabovu .Kwa maisha haya ya stress, ni ngumu kuwa na watoto wote hao
Malezi ya wazazi hasa wababa hawatumii muda na watoto wao kuwafundisha mbinu, wengi akinunua chakula basi inabaki kubembea na makahaba tuUnafikiri tatizo linaweza kuwa nini