Wanaume tunakwama wapi?

Wanaume tunakwama wapi?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Mara hatuna nguvu, mara kimoja chalii, mara sitaki watoto wengi n.k​
Haya sasa, huyu ndiye mwanaume wa shoka anayetakiwa kuigwa na wanaume rijali, na mimi kama equation x nitafuata nyayo zake.

Kuhusu nitawalisha nini; msiniulize, jaribuni kumuuliza huyu alikuwa anawalisha nini!

Nb: Dunia inatakiwa ijae watu, na si mawe wala mapori; haya kazi kwenu

ugand.jpg
 
Mara hatuna nguvu, mara kimoja chalii, mara sitaki watoto wengi n.k​
Haya sasa, huyu ndiye mwanaume wa shoka anayetakiwa kuigwa na wanaume rijali, na mimi kama equation x nitafuata nyayo zake.

Kuhusu nitawalisha nini; msiniulize, jaribuni kumuuliza huyu alikuwa anawalisha nini!

Nb: Dunia inatakiwa ijae watu, na si mawe wala mapori; haya kazi kwenu

View attachment 2669753
Pongezi kwake maana wengine mke mmoja tu mpaka kwa mjumbe wanafika hawezi kitu nani zimechoka kama mkate uliolowekwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa maisha haya ya stress, ni ngumu kuwa na watoto wote hao
Mke mmoja tu hata kumudu shida, unakuta mwanaume ugomvi kidogo na mkewe anaubeba kwa ndugu zake mwenyewe badala ya kumaliza na mkewe, kwahiyo mke anakuwa kaolewa na ukoo mzima, sasa hapo kuna mwanaume wa mbegu? Tuseme na malezi yamekuwa mabovu .
 
Back
Top Bottom