Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Mtu una Master's Degree, bado Jobless, umri unatembea nothing is possible 🙆, unategemea nn?Tatizo tunawaza vitu vikubwa vilivyotuzidi uwezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu una Master's Degree, bado Jobless, umri unatembea nothing is possible 🙆, unategemea nn?Tatizo tunawaza vitu vikubwa vilivyotuzidi uwezo
Elimu itolewe, ni kweliMalezi ya wazazi hasa wababa hawatumii muda na watoto wao kuwafundisha mbinu, wengi akinunua chakula basi inabaki kubembea na makahaba tu
Tatizo linaweza kuwa ndani, mechi anapangiwa labda mara moja kwa wikiMalezi ya wazazi hasa wababa hawatumii muda na watoto wao kuwafundisha mbinu, wengi akinunua chakula basi inabaki kubembea na makahaba tu
Suluhisho ni kuwa mkulima na mfugajiMtu una Master's Degree, bado Jobless, umri unatembea nothing is possible 🙆, unategemea nn?
Tunahakikisha dunia imejaa then tulioijaza tunahamia mars au kwenye mwezi[emoji28]Jaza dunia wewe, wakina abraham wangekuwa wachoyo wa uzao wao kama sisi, dunia ingekuwa imejaa mawe tu
Kuna baadhi ya maeneo kuna upungufu mkubwa sana wa watuTunahakikisha dunia imejaa then tulioijaza tunahamia mars au kwenye mwezi[emoji28]
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kwa sababu anatumia chakula cha asili; hakuna shidaNdio vizuri sana jamani ila mboro kwa wote hao kila siku
UongooKwa sababu anatumia chakula cha asili; hakuna shida
Ha ha ha ha hivi kuna watu wanapangiana? Mie najua ni wakati wowote mtu akiwa na nafasiTatizo linaweza kuwa ndani, mechi anapangiwa labda mara moja kwa wiki
Sema hata wewe, halafu wenye maisha magumu ndiyo wanafurahia maisha, fanya tafiti lakini wenye kazi zao na wasomi shida tupuUongoo
Hawajui kusex kabisaSema hata wewe, halafu wenye maisha magumu ndiyo wanafurahia maisha, fanya tafiti lakini wenye kazi zao na wasomi shida tupu
Kina Baba na babu walikuwa wakiwafundisha watoto na wajukuu, sasa siku hizi mwanaume anasusa kweli? Na kununa juu, unategemea huko kunako kutafanyika kitu si ndiyo Baba analala mzungu wa 4! Sahizi kaeni na watoto wenu wapewe skill za maisha.Elimu itolewe, ni kweli
Umenena vyema.Nusu ya hao watoto sio wake , kuna wahuni wamepita mle mle
Nimesoma lori Moja limeandikwaUna uhakika watoto wote wake?
Nimesoma lori Moja limeandikwa
"kwenye ndoa zenu Kuna watoto wetu"
[emoji16][emoji16][emoji16]
We unafikiri anatumia niniUongoo