MOSHI UFUNDI
JF-Expert Member
- Nov 25, 2022
- 526
- 1,222
Binafsi mwezi ujao naelekea Tanga maeneo ya Muheza kujitambulisha. Nimejipanga kwa haya yafuatayo.
1. Sitolala ukweni.
2. Ikitokea kula ukweni ntakula mlo mmoja tu.
3. Ntavaa simple sana( shati yangu ya mikono mirefu, suruali na balaghashehe kichwani) na kiatu changu cheusi
4. Nitaongea kwa vituo vingi sana.
5. Ntaomba nafasi ya kukaa ni binti yao kwa dakika 15 , nimsikilize utayari wake na jambo la ndoa, na kumsoma mawazo na akili yake kwa ujumla.
6. Katika maongezi yetu( mimi na binti yao) nimepanga niwe msikilizaji muda mwingi(ntaongea kidogo ).
7. Kwenye Barua ya posa sitoweka zaidi ya elfu 30.
8. Mahari sitolipa zaidi ya laki 5 ( Na hapo ntalipa kidogo kidogo) nyingine tutamalizia kwenye ndoa mbele ya safari.
9. Mama mkwe akiwa muongeaji sanaa kuliko baba mkwe basi huenda nikaghairisha kumuoa binti yao (elewa neno huenda).
.
.
.
Endelezeni madini mengine mkuu.
Tupeane tips hizo tusinyimane.
1. Sitolala ukweni.
2. Ikitokea kula ukweni ntakula mlo mmoja tu.
3. Ntavaa simple sana( shati yangu ya mikono mirefu, suruali na balaghashehe kichwani) na kiatu changu cheusi
4. Nitaongea kwa vituo vingi sana.
5. Ntaomba nafasi ya kukaa ni binti yao kwa dakika 15 , nimsikilize utayari wake na jambo la ndoa, na kumsoma mawazo na akili yake kwa ujumla.
6. Katika maongezi yetu( mimi na binti yao) nimepanga niwe msikilizaji muda mwingi(ntaongea kidogo ).
7. Kwenye Barua ya posa sitoweka zaidi ya elfu 30.
8. Mahari sitolipa zaidi ya laki 5 ( Na hapo ntalipa kidogo kidogo) nyingine tutamalizia kwenye ndoa mbele ya safari.
9. Mama mkwe akiwa muongeaji sanaa kuliko baba mkwe basi huenda nikaghairisha kumuoa binti yao (elewa neno huenda).
.
.
.
Endelezeni madini mengine mkuu.
Tupeane tips hizo tusinyimane.