Wanaume tunaokwenda kujitambulisha ukweni hivi karibuni njooni tupeane mbinu za kurahisisha jambo

Wanaume tunaokwenda kujitambulisha ukweni hivi karibuni njooni tupeane mbinu za kurahisisha jambo

MOSHI UFUNDI

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2022
Posts
526
Reaction score
1,222
Binafsi mwezi ujao naelekea Tanga maeneo ya Muheza kujitambulisha. Nimejipanga kwa haya yafuatayo.
1. Sitolala ukweni.
2. Ikitokea kula ukweni ntakula mlo mmoja tu.
3. Ntavaa simple sana( shati yangu ya mikono mirefu, suruali na balaghashehe kichwani) na kiatu changu cheusi
4. Nitaongea kwa vituo vingi sana.
5. Ntaomba nafasi ya kukaa ni binti yao kwa dakika 15 , nimsikilize utayari wake na jambo la ndoa, na kumsoma mawazo na akili yake kwa ujumla.
6. Katika maongezi yetu( mimi na binti yao) nimepanga niwe msikilizaji muda mwingi(ntaongea kidogo ).
7. Kwenye Barua ya posa sitoweka zaidi ya elfu 30.
8. Mahari sitolipa zaidi ya laki 5 ( Na hapo ntalipa kidogo kidogo) nyingine tutamalizia kwenye ndoa mbele ya safari.
9. Mama mkwe akiwa muongeaji sanaa kuliko baba mkwe basi huenda nikaghairisha kumuoa binti yao (elewa neno huenda).
.
.
.

Endelezeni madini mengine mkuu.
Tupeane tips hizo tusinyimane.
 
Binafsi mwezi ujao naelekea Tanga maeneo ya Muheza kujitambulisha. Nimejipanga kwa haya yafuatayo.
1. Sitolala ukweni.
2. Ikitokea kula ukweni ntakula mlo mmoja tu.
3. Ntavaa simple sana( shati yangu ya mikono mirefu, suruali na balaghashehe kichwani) na kiatu changu cheusi
4. Nitaongea kwa vituo vingi sana.
5. Ntaomba nafasi ya kukaa ni binti yao kwa dakika 15 , nimsikilize utayari wake na jambo la ndoa, na kumsoma mawazo na akili yake kwa ujumla.
6. Katika maongezi yetu( mimi na binti yao) nimepanga niwe msikilizaji muda mwingi(ntaongea kidogo ).
7. Kwenye Barua ya posa sitoweka zaidi ya elfu 30.
8. Mahari sitolipa zaidi ya laki 5 ( Na hapo ntalipa kidogo kidogo) nyingine tutamalizia kwenye ndoa mbele ya safari.
9. Mama mkwe akiwa muongeaji sanaa kuliko baba mkwe basi huenda nikaghairisha kumuoa binti yao (elewa neno huenda).
.
.
.

Endelezeni madini mengine mkuu.
Tupeane tips hizo tusinyimane.
Usivae viatu wakati wa kwenda vaa SENDO
 
Huyo mke umechaguliwa au imekuwaje?
Nilitegemea uwe umemfaham vizuri kabla ya kuwa na maamuzi kwenda kwao kutoa barua.

Barua hupeleki wewe anapeleka mshenga ndugu,wew ukakaa kusubiri majibu yao baada ya kuzungumza na bint yao ambae ameridhia wewe upeleke posa kwao.
 
Back
Top Bottom