Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo namba 2,kwani ulitaka ule milo mingapi mkuu?Binafsi mwezi ujao naelekea Tanga maeneo ya Muheza kujitambulisha. Nimejipanga kwa haya yafuatayo.
1. Sitolala ukweni.
2. Ikitokea kula ukweni ntakula mlo mmoja tu.
3. Ntavaa simple sana( shati yangu ya mikono mirefu, suruali na balaghashehe kichwani) na kiatu changu cheusi
4. Nitaongea kwa vituo vingi sana.
5. Ntaomba nafasi ya kukaa ni binti yao kwa dakika 15 , nimsikilize utayari wake na jambo la ndoa, na kumsoma mawazo na akili yake kwa ujumla.
6. Katika maongezi yetu( mimi na binti yao) nimepanga niwe msikilizaji muda mwingi(ntaongea kidogo ).
7. Kwenye Barua ya posa sitoweka zaidi ya elfu 30.
8. Mahari sitolipa zaidi ya laki 5 ( Na hapo ntalipa kidogo kidogo) nyingine tutamalizia kwenye ndoa mbele ya safari.
9. Mama mkwe akiwa muongeaji sanaa kuliko baba mkwe basi huenda nikaghairisha kumuoa binti yao (elewa neno huenda).
.
.
.
Endelezeni madini mengine mkuu.
Tupeane tips hizo tusinyimane.
Akamkaze mtoto wa watu kwa laki 5 miaka yote Afu alipe kidogo kidogo.Nacheka ninaposoma huu Uzi...
Naona utoto mwingi...
NB: Ndoa ni zaidi ya kuchomeka na kuchomoa...
Huyu jamaa anafurahisha genge, hamna muoaji hapo...Akamkaze mtoto wa watu kwa laki 5 miaka yote Afu alipe kidogo kidogo.
Anapanga kulala ukweni.
Barua anapeleka mwenyewe.
Hataki mama mkwe aongee
Au kachaguliwa mchumba huyu.
Mwenyewe nimeshangaa, et anaenda kumsikiliza utayari wake kuhusu ndoa, 😂 ina mana hajawasiliana nae kama yupo tayari ?Huyo mke umechaguliwa au imekuwaje?
Nilitegemea uwe umemfaham vizuri kabla ya kuwa na maamuzi kwenda kwao kutoa barua.
Barua hupeleki wewe anapeleka mshenga ndugu,wew ukakaa kusubiri majibu yao baada ya kuzungumza na bint yao ambae ameridhia wewe upeleke posa kwao.
Ulivyosema neno mapumbu hapo nimeona kama umeyataja yangu, dah umenistua sana.Dogo kama umefikia hatua ya kuoa jitahidi kuwa mwanaume.....uanaume sio mappmb tu ujue
[emoji16]Aisee! Ntakwepa kwepa mchakato wa kurasimisha iwe jua iwe mvua, ni mwendo wa sogea tukae
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ulivyosema neno mapumbu hapo nimeona kama umeyataja yangu, dah umenistua sana.