Wanaume tunaokwenda kujitambulisha ukweni hivi karibuni njooni tupeane mbinu za kurahisisha jambo

Nacheka ninaposoma huu Uzi...

Naona utoto mwingi...

NB: Ndoa ni zaidi ya kuchomeka na kuchomoa...
 
Hapo namba 2,kwani ulitaka ule milo mingapi mkuu?
 
Nacheka ninaposoma huu Uzi...

Naona utoto mwingi...

NB: Ndoa ni zaidi ya kuchomeka na kuchomoa...
Akamkaze mtoto wa watu kwa laki 5 miaka yote Afu alipe kidogo kidogo.

Anapanga kulala ukweni.
Barua anapeleka mwenyewe.

Hataki mama mkwe aongee
Au kachaguliwa mchumba huyu.
 
Akamkaze mtoto wa watu kwa laki 5 miaka yote Afu alipe kidogo kidogo.

Anapanga kulala ukweni.
Barua anapeleka mwenyewe.

Hataki mama mkwe aongee
Au kachaguliwa mchumba huyu.
Huyu jamaa anafurahisha genge, hamna muoaji hapo...
 
Mwenyewe nimeshangaa, et anaenda kumsikiliza utayari wake kuhusu ndoa, 😂 ina mana hajawasiliana nae kama yupo tayari ?
 
Utaomba uzungumze na Binti yao kwa dakika 15, na kwenye hayo mazungumzo wewe utakuwa msikilizaji..
 
Mkuu hongera Kwa kupata mbususu ya kitanga,ila Kwa mwandiko huu naona kabisa unaenda kuharibu hiyo ndoa
 
Namba 5 kwann mpk ufike ukweni ulitakiwa kuwa ushafanya
 
unajipanga nini wewe nenda katika hali ya kawaida

wasikilize msipoelewana basi kila mtu akubali kutokubaliana na mwenzake basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…