Unyama ni mwingi yaniMpaka wifi akikuhug anaenda na smell yako..
Inapendeza kama ni OG ila wengine wanakuwaga mikate ๐Oh no.. mwanaume uchebe muhimu
Ewe nchaka halafu kudeda usembo lu koandika kunu eh?Kida mnama ๐ ๐ ๐
๐๐๐๐Naona chenga mangi me najua lugha ya taifa tuKwani nyi nchaka ooh kihoso, mimi mtoto wa mjini acha maneno yako arawaaa, tumekulia mjini kaka ๐ ๐ ๐
Ni maoni tuu mkuu!Mkuu umemuelewa kweli au umempa faraja tu ๐๐
Mwanaume wa kweli havai saa, anaangalia jua au kivuli anajua ni saa ngapi๐Kidume urembo uishie kwenye kuvaa saa tu na nguo smart
Hahahahahah kweli baloziMwanaume wa kweli havai saa, anaangalia jua au kivuli anajua ni saa ngapi๐