Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
My formula...Iv tai inakiwa iandaen na shati au na nin uwa sielew kwny mpnglio tai inakuwa kwny kundi gani au inavaliwa na shati lolote tu??
My formula...
1. Tie kumatch koti la suti
2. Tie kumatch na mkanda wa kiuno na kiatu pia...gives me confidence
Ndo zipi hizo man🤷♂️😀😀Labda zile za kilokole.
Ndo zipi hizo man🤷♂️[emoji3][emoji3]
Zambarau😂😂Zile za mng’aro, koti la kijani sijui orange na maua maua.... kiatu chekundu na mkanda.[emoji3][emoji3]
Dark blue banaDar blue ni firee
Nmecheka sana hii commentDaaaaah kwa maana hiyo zinaanzia laki 4+, basi bhana nitashona hata kwa muha!
Zacharia fashion NgaramtoniHivi Arusha ni sehemu gani naweza pata fundi mzuri wa kushona suti kali kabisa
Yani umecomment what i wanted to sayKuna navy blue/dark blue....ni nzuri.
Kuna huyu kijana anaitwa Sheria Ngowi suti anazo tengeneza huwa nazikubari sana ngoja nijichange nikamtembelee
Mkuu ingia instagram search hilo jina harafu mtumie ujumbe private atakupa mawasiliano yake na wapi anapatikana.Anapatikana wapi mkuu?