Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
My formula...Iv tai inakiwa iandaen na shati au na nin uwa sielew kwny mpnglio tai inakuwa kwny kundi gani au inavaliwa na shati lolote tu??
1. Tie kumatch koti la suti
2. Tie kumatch na mkanda wa kiuno na kiatu pia...gives me confidence