Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina boss , kuna Nivea ya kike tuBody sprays za Nivea bado unazo?, zimeadimika na kupanda bei sana sokoni.
Unazo zipi kwa za kike. Nimenunua sprays za Nivea Men, kwa kweli kwa mara ya kwanza wameniangusha hawa jamaa, spray haikai mwilini zaidi ya masaa 2 kibaya zaidi zinauzwa bei juu ukilinganisha na hizi za kike like, fresh natural, dry comfort and pearl & beauty ambazo nimezitumia sana.Sina boss , kuna Nivea ya kike tu
Na mimi nakazia!Nakazia
Usisahau dipresheni inachangia kupausha pia hata ujipake lori la lotion. Futa la nazi lipigeni vita ila siliachi. Mimi ngozi yangu ina mafuta mengi hata nsipojipaka kitu sioni tofauti.Kwa comments hizi nimegundua ndio maana akina Half american wamepaukiana huku mtaani. Wanaume wengi hawana habari na skin care kabisaaa🙆♂️🙆♂️
Binafsi lotion siwezi, joto ni huko dasalama huku mikoani hakuna joto.Hivi kwa joto hili watu mnapaka lotion kweli
Wee joto la hapa kinole hatari..dar cha mtotooBinafsi lotion siwezi, joto ni huko dasalama huku mikoani hakuna joto.
Nilishangaa nimeenda Kununua mafuta yangu penda Skin guard yanatoka Uganda naambiwa ninunue lotion ya kiume nikauliza lotion ya kiume? Ipi hiyo?Binafsi lotion siwezi, joto ni huko dasalama huku mikoani hakuna joto.
Chuo gani kinachotoa hizi degree za Uongo?Niiagiza lita 10 za mafuta ya nazi OG mafia kwa 100,000
Ukweli mtakatifu nimekuelewa mimiFuta la nazi lipigeni vita ila siliachi.
Kuna mafuta hayana jinsia mfano yale ya pdidy na futa la nazi OG sio la kiwandani km Minara na ParaChuteKuna dalili ya kuchangia mafuta na dada zetu
Uongo ni upi hapo mkuu? Na kwa faida ya nani?Chuo gani kinachotoa hizi degree za Uongo?
we koma wewee (in Haji Manara's voice)... watakuloga wenye uzi waoHuu uzi ni kwa ajili ya wanawake tu kaka
Hahahaha,Mtoto wa kiume unatakiwa ukaze, huo mkono unavyoutumia kujipaka mafuta mwilini na wenyewe siunajipaka?