Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Na kweli🤣🤣Usisahau dipresheni inachangia kupausha pia hata ujipake lori la lotion.
Acha visingizio, paka mafuta uwe binadamu.Futa la nazi lipigeni vita ila siliachi. Mimi ngozi yangu ina mafuta mengi hata nsipojipaka kitu sioni tofauti.