Wanaume tunaopenda kuwa smart tusikose package hii

Wanaume tunaopenda kuwa smart tusikose package hii

1737435339301.jpeg
 
Vijana wengi wanajitutumua kuonekana ni wanaume kwa tabia za uchafu huku wakitelekeza watoto , wakijipiga vifua kuwa na magamba kama kobe ndio uanaume .
Uanaume ni kutekeleza majukumu yako na ku-provide kwa watu wanaokutegemea au walioko chini yako bac, huo ndio uanaume hata kama huna misuli hata kama una mikono milaini, as long as una majukumu na unayatekeleza, kwangu mm huyo ni mwanaume.

Hayo mambo ya mikono migumu sijui milaini, mambo ya huyu ananukia vizur mwingine ananuka kibeberu, hayana uhusiano na uanaume.
 
Mwanaume kutumia hand cream huo ni umama..!
Mkuu ikumbukwe jukwaa limeainishwa wazi ni la watu wenye kariba ya aina gani sio busara kabisa kuchangia hoja hizi kwa lugha ya kudhalilisha,kama wewe hupendi urembo unaweza kusoma na kukaa kimya tu
 
Nikioga nikapaka duodorant yangu kwapani, futa la nazi juu ya ngozi, saa mkononi, nguo zimepigwa pasi, mkanda kiunoni, kiatu mguuni, nmechana kipilipili changu kichwani na uchebe plus kaunyunyu kidogo cha savage nimemaliza.

Hizo dove nikinunua zitaexpire nitasahau kutumia.
Kuna sabuni zinaitwa MEGA zina maandishi ya kiarabu, ni buku tu hazina harufu kali binafsi tangu nizijue nazipendelea sana.
Hiyo sabuni ya MEGA inapatikana wapi?
 
We kama unatumia jamaa tuliza kende tu kama Mimi hii Dunia tunapita.
 
Mara yangu ya mwisho kupaka mafuta mwilini ilikuwa kipindi nasoma secondary.

Na hapo ilikuwa imewekwa sheria na maticha japo mara nyingi nilikuwa nachimba sana kuepuka asembo.

Na hata katika hicho kipindi nilikuwa situmii lotion, kuna mafuta fulani ya mgando ndani yanakuwa meupe hivi ndio nilikuwa napita nayo.

Hayo mafuta ulikuwa ukienda kwa mafundi baiskeli miaka hiyo utaona walikuwa wakiyatumia kupaka kwenye minyororo.
Basi hapa masela mavi watakuona mwamba kweli kweli tena hapo uongezee na kikwapa kutema kutu 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom