Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😹😹😹 eeeehiyaa.!! Rohoooooooniiimafuta ya nazi nimegundua ni moisturizer nzuri sana kama ngozi yako ina tabia ya kupauka pauka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹😹 eeeehiyaa.!! Rohoooooooniiimafuta ya nazi nimegundua ni moisturizer nzuri sana kama ngozi yako ina tabia ya kupauka pauka
mmeo mtarajiwa yupo smart.😹😹😹 eeeehiyaa.!! Rohoooooooniii
Mtoto una kiranga wewe na watu wazima 😹🤣mmeo mtarajiwa yupo smart.
Sio km ni anapaka 😹😹Duh kwa mafuta yote hayo aki wewe bila shaka ni kati ya wale wanaume wanaopaka futa mpaka kalio
😹😹😹🙌Mwishoe mtatumia face cream
Kwahiyo ukitoka kuoga unajikung’uta km mbwa basi 😹😹Sisi wanaume ambao hatuchagui mpaka povu la sabuni ya unga tunaogea mnatuweka kundi gani, kuna kuna kina sisi tunaooga chukuchuku kama hakuna sabuni, ama tunaita kujimwagia maji.
Ila kiukweli kabisa, mambo ya kupaka lotion ama mafuta kumenikalia kushoto mnooo, siwezi kabisa, na sijawahi kutoa hela yangu nikanunua lotion,
Mke wangu alijaribu jaribu mwanzoni, akaona huu mti mkavu kwenye suala la kupaka mafuta ama lotion nimemshindwa.
Mie ni body spray tu baasi.
Labada niende mkoa wenye baridi sana, na huko sipaki mafuta mwilini, ni mdomo tu sababu huwa unachanika chanika.
Sabuni ya unga unaogea? 😹Nipe packages ya pamba.
Sabuni natumia ya Unga/Kipande ya kufulia.
Wewe sasa ndo umeua 😹😹Pia jitahidi kufanya waxing pubic hair, full body massage na steam bath angalau mara moja kwa mwezi.
Au tafuta mwanamke wa Tanga akufanyie kitu inaitwa "kusinga" walau mara moja kwa mwezi.
Usijaribu mwaya kibamia kitafutika chote 😹Hapo sawa...sie wengine jua linaishia mwilini lotion hatuijui
😹😹😹 Dah..!!Mhasibu amewakilisha wanaume wa Sinza!!
Mangi mbona km umeumia nawe mdau wa hand cream nini 😹😹😹Vijana wengi wanajitutumua kuonekana ni wanaume kwa tabia za uchafu huku wakitelekeza watoto , wakijipiga vifua kuwa na magamba kama kobe ndio uanaume .
Labda samona jelly 😂
Comment niliyokuwa naitafuta hatimaye nimeipata 😹😹😹
Leo nimemuona jamaa mmoja ni msafi hadi kavaa chupi nyeupe, sijapenda.Aiseeeee!!
Mmh mimi kwa kweli huwa ni ugomvi yeye akishapaka deodorant akiweka cologne yake kamaliza,nasema kila siku si uwe unapaka hata baseline hiyo mikono inapauka utasikia nani anataka kusweat?.....Kilichonishangaza mleta uzi kasahau kabisa kwapa na moisturiser ya vitamin C😁Hapo ongezea sunscreen, shower gel, serum, toner na scrub utakuwa umetisha..!!
Hapo kwenye hand cream ongezea na color less kucha zing’ae na ka pink lip balm 😜🤣
Joannah sis Shem naye anatumia hand cream? 😹😹
Dada unajitahidi kumzingatia shem 😻Mmh mimi kwa kweli huwa ni ugomvi yeye akishapaka deodorant akiweka cologne yake kamaliza,nasema kila siku si uwe unapaka hata baseline hiyo mikono inapauka utasikia nani anataka kusweat?.....Kilichonishangaza mleta uzi kasahau kabisa kwapa na moisturiser ya vitamin C😁