Na kweli🤣🤣Usisahau dipresheni inachangia kupausha pia hata ujipake lori la lotion.
Acha visingizio, paka mafuta uwe binadamu.Futa la nazi lipigeni vita ila siliachi. Mimi ngozi yangu ina mafuta mengi hata nsipojipaka kitu sioni tofauti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa comments hizi nimegundua ndio maana akina Half american wamepaukiana huku mtaani. Wanaume wengi hawana habari na skin care kabisaaa[emoji2297][emoji2297]
Wewe huogi, unajifua.
Uanaume ni kutekeleza majukumu yako na ku-provide kwa watu wanaokutegemea au walioko chini yako bac, huo ndio uanaume hata kama huna misuli hata kama una mikono milaini, as long as una majukumu na unayatekeleza, kwangu mm huyo ni mwanaume.Vijana wengi wanajitutumua kuonekana ni wanaume kwa tabia za uchafu huku wakitelekeza watoto , wakijipiga vifua kuwa na magamba kama kobe ndio uanaume .
Mkuu ikumbukwe jukwaa limeainishwa wazi ni la watu wenye kariba ya aina gani sio busara kabisa kuchangia hoja hizi kwa lugha ya kudhalilisha,kama wewe hupendi urembo unaweza kusoma na kukaa kimya tuMwanaume kutumia hand cream huo ni umama..!
Sina mpango wa kutumia lotion yoyote haya ya nazi nadhani yanatoshaKuna mafuta hayana jinsia mfano yale ya pdidy na futa la nazi OG sio la kiwandani km Minara na ParaChute
Kwa joto hili futa lanini ?😅Na kweli🤣🤣
Acha visingizio, paka mafuta uwe binadamu.
Ushawaza mengineUkweli mtakatifu nimekuelewa mimi
Labda samona jelly 😂Nilishangaa nimeenda Kununua mafuta yangu penda Skin guard yanatoka Uganda naambiwa ninunue lotion ya kiume nikauliza lotion ya kiume? Ipi hiyo?
Hiyo sabuni ya MEGA inapatikana wapi?Nikioga nikapaka duodorant yangu kwapani, futa la nazi juu ya ngozi, saa mkononi, nguo zimepigwa pasi, mkanda kiunoni, kiatu mguuni, nmechana kipilipili changu kichwani na uchebe plus kaunyunyu kidogo cha savage nimemaliza.
Hizo dove nikinunua zitaexpire nitasahau kutumia.
Kuna sabuni zinaitwa MEGA zina maandishi ya kiarabu, ni buku tu hazina harufu kali binafsi tangu nizijue nazipendelea sana.
Wala sijafika huko mkuuUshawaza mengine
Basi hapa masela mavi watakuona mwamba kweli kweli tena hapo uongezee na kikwapa kutema kutu 😂😂😂😂Mara yangu ya mwisho kupaka mafuta mwilini ilikuwa kipindi nasoma secondary.
Na hapo ilikuwa imewekwa sheria na maticha japo mara nyingi nilikuwa nachimba sana kuepuka asembo.
Na hata katika hicho kipindi nilikuwa situmii lotion, kuna mafuta fulani ya mgando ndani yanakuwa meupe hivi ndio nilikuwa napita nayo.
Hayo mafuta ulikuwa ukienda kwa mafundi baiskeli miaka hiyo utaona walikuwa wakiyatumia kupaka kwenye minyororo.
Zipo madukani hasa maduka ya mangi ya jumla, zipo za harufu tofauti na rangi tofauti. Binafsi sipendi harufu kali. Ngoja nitajitahid niambatanishe picha yake.Hiyo sabuni ya MEGA inapatikana wapi?
Poa mkuu, nikipata picha itakuwa fresh niitafute.Zipo madukani hasa maduka ya mangi ya jumla, zipo za harufu tofauti na rangi tofauti. Binafsi sipendi harufu kali. Ngoja nitajitahid niambatanishe picha yake.