Wanaume tunaopenda kuwa smart tusikose package hii

Wanaume tunaopenda kuwa smart tusikose package hii

Yani kabisa Mkuu unatumia muda wako kunifafanulia kuhusu vipodozi mimi? Umenichekesha sana, mie ni jabali hakuna utakachoniambia kwenye hii sekta.

Huyo niliyemuita anatumia products nyingine bora zaidi ya hata hiyo Dove, na tulishazungumza kwa alipo na nikamwambia vya kutumia.

Good day.
Tupe elimu dada yetu.
 
Sisi wanaume kutokana na kuwa na shughuli nyingi sana zinazotufanya tutokwe na majasho mara kwa mara,hii husababisha ngozi zetu kuwa salama na nzuri naturally.So achana na mimafuta mengi,hakikisha tu unaoga hata mara moja kwa siku
Piga futa lako moja la mgando/olive oil sepa....hakuna mambo mengi bro...ngozi ya mwanaume iwe mororo unamvutia nani?
 
Sisi wanaume kutokana na kuwa na shughuli nyingi sana zinazotufanya tutokwe na majasho mara kwa mara,hii husababisha ngozi zetu kuwa salama na nzuri naturally.So achana na mimafuta mengi,hakikisha tu unaoga hata mara moja kwa siku
Piga futa lako moja la mgando/olive oil sepa....hakuna mambo mengi bro...ngozi ya mwanaume iwe mororo unamvutia nani?
Katika mwili wa binadamu suala ya afya bora ya ngozi ni muhimu pia.
 
Sisi wanaume ambao hatuchagui mpaka povu la sabuni ya unga tunaogea mnatuweka kundi gani, kuna kuna kina sisi tunaooga chukuchuku kama hakuna sabuni, ama tunaita kujimwagia maji.

Ila kiukweli kabisa, mambo ya kupaka lotion ama mafuta kumenikalia kushoto mnooo, siwezi kabisa, na sijawahi kutoa hela yangu nikanunua lotion,
Mke wangu alijaribu jaribu mwanzoni, akaona huu mti mkavu kwenye suala la kupaka mafuta ama lotion nimemshindwa.

Labada niende mkoa wenye baridi sana, na huko sipaki mafuta mwilini, ni mdomo tu sababu huwa unachanika chanika.
Acha sabuni ya unga .Kuna miti flani hivi nimeisahau jina , unaisugua kwenye jiwe inatoa povu unaogea mtoni. Aah! Tumetoka mbali bwana[emoji1787]
 
Nikinunua body wash ndan ya sku 4 imeisha ila nikinunua sabuni nakaa nayo zaidi ya 2 week
Kwa mm ninae thamini pesa yangu siwez ujinga huo

Kwa mafuta na rosheni vaseline blueseal petroleum jelly ni noma sana na bei yake ni nafuu sana
Nunua Dove Gel na Dove bar, unaweza kupishashanisha, unatumia Gel baada ya siku 2
 
Hawawezi kukuelewa, unakuta mtu amevaa vizuri ila vidole vya mikono vinatoa harufu ajabu. Mtu anayejitambua hawezi kukubali mikono iwe na hali hiyo.

NB: Hayo uliyoyaita mafuta huwa yanatumika sehemu gani ya mwili?.
Hizi body lotion ni kupaka mwili mzima. Nimeweka 2 chaguo ni lake kati ya Jergens au Nivea breathable. Ila Dove ni ya kuogea mwili mzima
 
Back
Top Bottom