Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Safi Sana....
kwenye SHOWER GEL tumia hii kwa matokeo mazuri Zaid Mimi ndio nayo tumia baada ya kutumia zoteee
Best of the best ni hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zipo za kiume mkuu, hata ukigooglehand cream, sunscreen, lip balm
Kuna siku niliiona supermarket nikakukumbuka ila nikaishia kuchukua Fa.View attachment 3207357View attachment 3207359
Safi Sana....
kwenye SHOWER GEL tumia hii kwa matokeo mazuri Zaid Mimi ndio nayo tumia baada ya kutumia zoteee
Best of the best ni hii
Sunscreen hapana mdogo wangu, zina cream zile zinang’arisha sitaki.Hadi sunscreen mbona unamuonea😂
Mimi sijawahi kununua sunscreen hua nategea ya babe wangu.
Ipi hiyo inang'arisha nikanunue haraka mbona sisi bado tupo weusi kama mkaaSunscreen hapana mdogo wangu, zina cream zile zinang’arisha sitaki.
Shemeji yako ana chocolate (rangi) moja matata sitaki iharibike.
Nilitaka kukushangaa.Baadhi tunachangamsha genge tu! Kujipenda ni muhimu na kua na ngozi nzuri inaongeza kujiamini
Najua sana, ila nyie wengine tumieni tu na mkitaka nzuri niulizeni niwasaidie ushauri ila wa kwangu abaki tu kama Mungu alivyomuumba.zipo za kiume mkuu, hata ukigoogle
ila lip balm dah😅 huo ushamba bado haujanitoka
Mwanaume unapakaje lip balm kwani mgando haupoNilitaka kukushangaa.
Wanauza wanazidi kupungua aisee 😆😆Kwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
Kwa sisi above 70 haituhusu maana badala ya kutengeneza ngozi unaweza ukaishia kubabuka...Kwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
Dove harufu yake sio poa but hiyo JergensKwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
Karibia ya zote hadi zile za 10,000. Sunscreen inataka constistency uone matokeo, we tumia tu baada ya 2 weeks bila kukosa utaanza kuona mabadiliko.Ipi hiyo inang'arisha nikanunue haraka mbona sisi bado tupo weusi kama mkaa
Ukiishi nchi zenye baridi kali na barafu ndio utajua umuhimu wa lip balm kwa kila mtu.Mwanaume unapakaje lip balm kwani mgando haupo
Hizi ni nzurii mkuu..ijaribu siku mojaaa..Kuna siku niliiona supermarket nikakukumbuka ila nikaishia kuchukua Fa.
usinirushie sasa, mimi mwenyewe sitakiNajua sana, ila nyie wengine tumieni tu na mkitaka nzuri niulizeni niwasaidie ushauri ila wa kwangu abaki tu kama Mungu alivyomuumba.
Kuliko.kuhangaika na Mafuta Huwa nahangaika na matango,kitunguu swaumu,maji,matunda basi.Kwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
Mmmh! Siuseme tu wifiKuna siku mgeni alijipakaa nyingi akamaliza maji mengi Sanaa....Ina povu Sanaa 😊 😊