Opot opot4
Member
- Jul 25, 2024
- 22
- 26
Duh kwa mafuta yote hayo aki wewe bila shaka ni kati ya wale wanaume wanaopaka futa mpaka kalio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni umasikini na kukosa elimu..Wabongo tulio wengi tuna primitive mindset ndio maana mpaka leo tunaamini chakula ni wali na ugali kidogo labda ndizi na makande vingine vyote tunaona havifai...yaani ni hivi mbongo akishaamini katika kitu fulani kumtoa katika hyo imani ni kazi sana!
Baadhi tunachangamsha genge tu! Kujipenda ni muhimu na kua na ngozi nzuri inaongeza kujiaminiNi umasikini na kukosa elimu..
Kama mtu anakuambia kula chips mwanaume haifai, we unafikiri huyo ana akili timamu?
Chakula ndo kinatunza ngozi ya mwanaume na sio mafuta ya 15,000Wabongo wengi hawana habari na afya za ngozi zao, ngozi inatakiwa kutunzwa, afya njema inajumuisha afya kwa ujumla wa mwili wako ikiwemo ngozi.
Kama unavyokunywa dawa ukiugua malaria, ngozi pia inahitaji matunzo.
Mabishoo bwanaa kwahio sisi tunaopaka coconut oil ni washambaUshamba tu unakusumbua
Kwanini unanunua dawa ukiugua?Chakula ndo kinatunza ngozi ya mwanaume na sio mafuta ya 15,000
ndio maana nakupenda😊Baadhi tunachangamsha genge tu!
KiwiliwiliNoma sana aisee....
Nilikuwa nadhani huwa ni wanawake tu wenye mafuta ya uso, mafuta ya kiwiliwili, mafuta ya mikono kumbe yapo kwa ajili ya wanaume pia.
Ngoja nizidi kujifunza maana nilidhani ninajua yote kuhusiana na mafuta nikaja kusikia kuwa kuna mafuta hata ya Pdiddy.
Usikose kuwa na dereva pia wa kukubebea Hand bag au BriefcaseKwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
kumbe hata wanaume hujipaka mafuta dah 🐒Kwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
Kwenda hukondio maana nakupenda😊
serious vileKwenda huko
MWENYEWE NIMESHANGAA!Noma sana aisee....
Nilikuwa nadhani huwa ni wanawake tu wenye mafuta ya uso, mafuta ya kiwiliwili, mafuta ya mikono kumbe yapo kwa ajili ya wanaume pia.
Ngoja nizidi kujifunza maana nilidhani ninajua yote kuhusiana na mafuta nikaja kusikia kuwa kuna mafuta hata ya Pdiddy.