Tupe elimu dada yetu.Yani kabisa Mkuu unatumia muda wako kunifafanulia kuhusu vipodozi mimi? Umenichekesha sana, mie ni jabali hakuna utakachoniambia kwenye hii sekta.
Huyo niliyemuita anatumia products nyingine bora zaidi ya hata hiyo Dove, na tulishazungumza kwa alipo na nikamwambia vya kutumia.
Good day.
Swala la ugumu wa mikono hautokani na kutopaka Mafuta Bali aina ya kazi.We unapenda ukiwa unatomaswa jamaa yako awe na mkono kama msasa wa kusugua mbao, au steel wire za kusugulia sufuria?
Mgeni bwanaa Tena aliogea bafu la public akasema maji hayatoshi aongezwe ndoo mbili 😀☺️😊Mmmh! Siuseme tu wifi
Mkuu Kama unashinda kwenye kiyoyozi unapaka tu.Hivi kwa joto hili watu mnapaka lotion kweli
Kuna wanaume unashikana nao mikono ya laini kuliko mwanamke .. 🥴Mwanaume kutumia hand cream huo ni umama..!
Yaan Mimi tokea ukuaji wangu nikivaa nguo mbaya yaani hata kujiamini/ confidence hupungua sanaaaNapenda sana wanaume smart. Pokeeni maua yangu popote mlipo
Katika mwili wa binadamu suala ya afya bora ya ngozi ni muhimu pia.Sisi wanaume kutokana na kuwa na shughuli nyingi sana zinazotufanya tutokwe na majasho mara kwa mara,hii husababisha ngozi zetu kuwa salama na nzuri naturally.So achana na mimafuta mengi,hakikisha tu unaoga hata mara moja kwa siku
Piga futa lako moja la mgando/olive oil sepa....hakuna mambo mengi bro...ngozi ya mwanaume iwe mororo unamvutia nani?
Mashine hio Bro . Mia na nusu , wale tuliosoma Boarding school hizi zilikuwa must kuwa nazo kutibu muwasho na umbujeroKwani hii ina ishu gani ?View attachment 3207228
Ngoz ya kiume inajitosheleza,achana na machemical meng kwa ngoziKatika mwili wa binadamu suala ya afya bora ya ngozi ni muhimu pia.
NinayeUsikose kuwa na dereva pia wa kukubebea Hand bag au Briefcase
Acha sabuni ya unga .Kuna miti flani hivi nimeisahau jina , unaisugua kwenye jiwe inatoa povu unaogea mtoni. Aah! Tumetoka mbali bwana[emoji1787]Sisi wanaume ambao hatuchagui mpaka povu la sabuni ya unga tunaogea mnatuweka kundi gani, kuna kuna kina sisi tunaooga chukuchuku kama hakuna sabuni, ama tunaita kujimwagia maji.
Ila kiukweli kabisa, mambo ya kupaka lotion ama mafuta kumenikalia kushoto mnooo, siwezi kabisa, na sijawahi kutoa hela yangu nikanunua lotion,
Mke wangu alijaribu jaribu mwanzoni, akaona huu mti mkavu kwenye suala la kupaka mafuta ama lotion nimemshindwa.
Labada niende mkoa wenye baridi sana, na huko sipaki mafuta mwilini, ni mdomo tu sababu huwa unachanika chanika.
Nunua Dove Gel na Dove bar, unaweza kupishashanisha, unatumia Gel baada ya siku 2Nikinunua body wash ndan ya sku 4 imeisha ila nikinunua sabuni nakaa nayo zaidi ya 2 week
Kwa mm ninae thamini pesa yangu siwez ujinga huo
Kwa mafuta na rosheni vaseline blueseal petroleum jelly ni noma sana na bei yake ni nafuu sana
Sio suala la chemikali tu afya ya ngozi ni muhimu mno , kama ni mwanaume ni mwanaume tu hauhitaji kutumia nguvu nyingi kujionyesha kuwa ni mwanaume .Ngoz ya kiume inajitosheleza,achana na machemical meng kwa ngozi
Unatafuta nini?
SawaNinaye
Hizi body lotion ni kupaka mwili mzima. Nimeweka 2 chaguo ni lake kati ya Jergens au Nivea breathable. Ila Dove ni ya kuogea mwili mzimaHawawezi kukuelewa, unakuta mtu amevaa vizuri ila vidole vya mikono vinatoa harufu ajabu. Mtu anayejitambua hawezi kukubali mikono iwe na hali hiyo.
NB: Hayo uliyoyaita mafuta huwa yanatumika sehemu gani ya mwili?.
Kumbe ni lotion. Ulivyoita mafuta nikadhani ni mafuta kama ya nazi.Hizi body lotion ni kupaka mwili mzima. Nimeweka 2 chaguo ni lake kati ya Jergens au Nivea breathable. Ila Dove ni ya kuogea mwili mzima
Hapo sawa...sie wengine jua linaishia mwilini lotion hatuijuiMkuu Kama unashinda kwenye kiyoyozi unapaka tu.