Wanaume tunaotunzwa na wake zetu tuje hapa

Wanaume tunaotunzwa na wake zetu tuje hapa

Ile subaru uliyoibiwa Arusha ulinunuliwa na mkeo mkuu,

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Mwanamke anitunze mimi!!!?kudadadeki akamtunze baba'ake sio mimi hawana dogo hawa siku mkigombana kidogo anafunga mtaa kusema madhaifu yako hata bundle la jero alilokununuliaga analitangaza siku hiyo.mwanaume jitafutie kwa jasho lako uenjoy maisha epuka kutunzwa na mwanamke.

sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
 
Duniani raha sana , mwanamke akikupenda raha sana, hasa akiwa na pesa na kazi nzuri.

Unakula beers, unakula maisha mjini, ananuka kila kitu kiroho safi, maisha yanasogea. Sasahivi tuna watoto 2, gari za kutembelea 2 na nyumba yetu safi maeneo ya Kigogo hapa Dsm. Mm nafuatilia biashara za mke wangu,maana ye yupo busy sana ofsn,anasafiri nje mara kibao.

Hatujawahi hombana, amani kila siku. Yupo very peace, mwaka wa 8 sasa maisha safi. Mwanaume nadrive bila shida, ila usiku cha moto nakipata, busy busy sana juu yake.

Wasalaam.
Wewe mwaka 2012 ulikuwa mwanamke na leo umebadilika kuwa dume na unalelewa ref Jinsi ya Kupata watoto Mapacha kwa njia ya kawaida
BINTI77
 
Back
Top Bottom