Wanaume tunatembea na wanawake kwa sababu mbili, Ngono na mapenzi

Wanaume wengi wanaoa kwa kuangalia muonekano wa nje, Chura, Miguu, Sura n.k. wakiamini amani na utulivu watavipata ndani ya ndoa.
 
Wanaume wengi wanaoa kwa kuangalia muonekano wa nje, Chura, Miguu, Sura n.k. wakiamini amani na utulivu watavipata ndani ya ndoa.
Lakini wengine wameoa wenye sura,shepu(chura), miguu na rangi lakini bado wanachepuka tu.
 

 
Wanaume huoa kwa Sababu mbali mbali

1.Kwa Sababu wako desperate

2.Wanataka kupata uhakika wa kula tunda kila siku

3.Kwa Sababu umri umesonga wanaogopa kisimangwa na wenzao walioa

4.Kwa Sababu wako vizuri kichumi
 
Nakubaliana na mtoa mada,pia wanaume tunaoa wanawake wenye heshima na utii kwa mwanaume,heshima inabeba vitu vingi sana na mwanaume akishagundua kuwa huyu mwanamke anamheshimu na kumtii,chapu kwa haraka anamuoa
mmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…