Wanaume tunaumia zaidi kwenye mapenzi kushinda wanawake

Wanaume tunaumia zaidi kwenye mapenzi kushinda wanawake

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Hata takwimu zinajionyesha wengi wao wanaojiua kisa mapenzi ni sisi wanaume!.. kujitia vitanzi, kujipiga risasi kisa wivu wa mapenzi kwetu sisi imekuwa ni jambo linalotakiwa kuangaliwa katika namna ya kipekee maana tutaisha sasa na hivi tupo wachache!!.

Wanawake tupunguzieni mizigo na mtulie haiwezekani mtu anawekeza kwako muda, fedha na hisia lakini hayo yote mnayaona bure, inauma tena inauma kwelikweli.

Nachoamini sisi wanaume tukipenda tumependa kweli na ndio viumbe wenye mapenzi ya dhati.

#Wanaume wote tutaiona pepo.

1625742614123.png

 
You can't buy love because when it's real it's priceless.. Kuendelea kuumizwa na mapenzi ni kupenda au kuchagua kwa mhusika mwenyewe ila ukiwa na ile mindset kua sio lazima kua kila unaempenda uwe nae au umpate trust me hutokuja kuumizwa na mapenzi.
 
Wanawake wanajali wakiwa kwenye mahusiano,wanaume kuna wakati unataka kujali wakati upo nje mahusiano hapo ndipo wanaume wengi huumia kwa kukumbuka mwanamke ambavyo alikuwa anakujali kipindi mpo pamoja.
 
Back
Top Bottom